Pages

Subscribe:

Wednesday, May 2, 2018

FACEBOOK WATANGAZA KUIMARISHA FARGHA ZA WATUMIAJI WA MTANDAO HUO

Kutokana na kampuni ya Facebook kukumbwa na kashfa ya data za watumiaji wa mtandao huo hivi karibuni, kampuni hiyo imetangaza kufanya mabadiliko kadhaa ii kuimarisha faragha ya watumiaji wa mtandao huo.

Facebook imeeleza kuwa imeongeza faragha kwa watumiaji wake kwa kuweka sehemu ya kufuta historia ya ulichokitafuta katika...
mtandao huo.

Kampuni hiyo ilikumbwa na kashfa ya kutothamini faragha za watumiaji wake huku watumiaji zaidi ya milioni hamsini walidukuliwa katika kipindi cha uchaguzi wa Marekani jambo ambalo Mkurugenzi wa kampuni hiyo Mark Zuckerberg amesema halitajirudia tena.

0 comments:

Post a Comment