Pages

Subscribe:

Monday, January 23, 2017

KAULI YA P FUNK JUU YA VIDEO YA NGONO YA MTOTO WAKE ILIYO SAMBAA MTANDAONI


Moja kati ya issues ambazo zimetrend kinoma wiki iliyopita ni pamoja na hii skendo ya Ngono ya binti anayesemekana kuwa ni Paula mtoto wa muigizaji Kajala na producer mkongwe P Funk Majani.

Kitu ambacho kiliwaumiza sana wazazi hao wawili, na kudai kuwa binti aliye kwenye video ile ya ngono hakuwa binti yao na kupelekea kutoa mapovu sio ya pole pole mitandaoni. Jana kwenye On Point ya CLouds FM Mtangazaji aliamua kupiga story na P Funk Maajani ambaye ni baba mzazi wa Paula na kuzungumza...

ZIJUE NYIMBO 650 ZA CHRIS BROWN NA WANAWAKE 26 ALIOWAHI KUTOKA NAO

Image result for chris brown
Jina halisi ni Christopher Maurice anajulikana kama "Chris" Brown ni American singer, songwriter, rapper, dancer, and actor. AlizaliwaMay 5, 1989 (umri 27)  Tappahannock, Virginia, na alikuwa akiimba kwaya alipokuwa ktk umri mdogo kanisani na hapo ndipo kilitambulika kipaji chake. Alianza rasmi maisha ya muzikimwaka 2002 na mwaka 2005 ndiyo alitambulika rasmi.

Tangu mwaka 2005 mpaka sasa chris ameshafanya nyimbo 812 kwa ujumla, ambapo ktk hizo kuna Album zake 49, nyimbo zake zote kwa ujumla 650, na 162 za kushirikishwa, Achilia mbali na muziki pia ktk mahusiano chrisamesha wahi kutoka kimapenzi na wanawake 26. 

Hii ndiyo list ya nyimbo zake tangu aanze muziki mpaka sasa na wanawake aliowahi kutoka nao...

Download: Sky Walker ft Haitham_Asante

Asante copy

Download

Download: Lunduno_Mitindo na Miondoko

IMG-20170116-WA0031

Download

Download: Nappy_Nifanye Nitulie


Download

DULLY: SIHITAJI KUCHAFULIWA, HAO WAKINA MR BLUE, DARASSA NI WADOGO ZANGU

Mwanamuziki mkongwe kwenye muziki wa bongo fleva Dully Skyes, ambaye hivi sasa anatamba na wimbo wake 'Yono' amefunguka na kusema yeye amekuwa mtu mzima hivyo haitaji kuchafuliwa kwa kuzushiwa mambo ambayo yeye hajayazungumza. 

Dully Skyes akiongea kwenye kipindi cha Planet bongo alisema hapendi kuona watu wanaandika vitu vya uongo kuhusu yeye ambavyo vinakuwa na lengo la kutaka kumchonganisha na...

NAY WA MITEGO: SIKUNGA NA MAMA MIAKA MITANO

Rapa Nay wa Mitego ambaye anafanya vyema na wimbo wake 'Sijiwezi' amefunguka na kusema kuwa ni kweli alikuwa amezinguana na mama yake mzazi na walikaa miaka mitano bila kupiga stori yoyote ile. 
 
Nay wa Mitego alisema haya kupitia kipindi cha Planet bongo na kusema kwa sasa wameshamaliza tofauti zao na anaishi na mama yake mzazi ingawa anakiri kuwa ni kweli ameishi...

RAMA DEE: MUNGU AKUPE USHINDI NA AWAMU YA PILI JPM

Mwanamuziki wa R&b kutoka Tanzania Rama Dee amefunguka na kuonyesha wazi kuridhishwa na uongozi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli na kumuombea kwa Mungu ifikapo mwaka 2020 ashinde tena kwa awamu ya pili. 

Rama Dee amesema hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kuweka picha ambayo inamuonyesha Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa anagawa pipi kwa baadhi ya viongozi na...

SHILOLE AWAPA MAKAVU LIVE WANAO LALAMIKA KUHUSU UGUMU WA MAISHA

Msanii wa muziki wa bongo fleva Zuhena Mohammed alimaarufu kama Shilole amefunguka na kuwapa neno baadhi ya vijana ambao wamekuwa wakilalamika juu ya hali ngumu ya maisha huku wengi wao wakiitupia lawama Serikali ya awamu ya tano. 

Shilole kupitia mtandao wake wa Instgram amesema amewachana baadhi ya vijana hao na kusema wamekuwa wakilalamika kuwa kuna hali ngumu ya maisha au pesa haipatikani ikiwa wao wenyewe...

OMMY DIMPOZ AWEKA WAZI KUHUSU UJENZI WA NYUMBA ZAKE MBILI JIJINI DAR

 
Msanii wa muziki wa bongo fleva Ommy Dimpoz ambaye bado anafanya vyema na wimbo wake 'Kajiandae' amefunguka na kusema hajapangishiwa nyumba Mbezi na jimama kama ambavyo inadaiwa na kudai kuwa kwa sasa yeye anaishi Mikocheni.  

Ommy Dimpozi akiongea na EATV alisema hana nyumba ambayo amepangisha wala hajapangishiwa nyumba ila kwa sasa anafanya ujenzi katika viwanja vyake viwili Mbezi pamoja na...

HUU NDIYO UJIO MPYA WA KANYE WEST


Kanye West ameamua kuandaa project zake kimya kimya kwa mashabiki zake.
January 20 watu wakaribu wa Kanye West waliamua kuufungukia mtandao wa E Newz kwa kusema kwamba Kanye West ameamua kuja na projects yake mpya ambayo itahusisha Muziki pamoja na matamasha bila kusahahu maswala yake ya Fashion.
Licha ya source huyo kuongelea kuhusu ujio wa Kanye West, kulikuwa na taarifa kwamba tangu pindi alipoachiwa kutoka...

BARNABA AFUMUA ALBAMU YAKE NA KUISUKA UPYA



Barnaba amedai kuwa amelazimika kuifumua upya album yake aliyokuwa amepanga kuitoa mwaka jana ili kuipa nguvu zaidi. Mwaka jana, muimbaji huyo aliahidi kuitoa album yake aliyokuwa ameipa jina ‘Nane Nane’ kwenye siku wa Wakulima (August 8) lakini aliahirisha baada ya sponsor aliyekuwa ameingia ubia kwenye album hiyo kubadilisha mawazo.

Akizungumza kwenye kipindi cha Loudspika cha Africa Swahili FM, Morogoro, Barbaba amedai kuwa ushindani toka kwa...

+18 VIDEO: HIVI NDIVYO UPASUAJI WA KURUDISHA BIKRA UNAVYO FANYIKA (Hymenorrhaphy)

Image result for hymenorrhaphy surgery
bikra ni nini?

hii ni ngozi laini sana inayofunika uke kwa wanawake ambao hawajawahi kushiriki ngono kabisa, kikawaida mwanamke anaacha kuitwa bikra pale ngozi hii inapoondolewa.... ngozi hii kitaaamu inaitwa hymen.

hymenorrhaphy
huu ni upasuaji unaofanyika kuirudisha bikra ya mwanamke ambayo...

MTANZANIA ATEULIWA KUWA RAIS WA KAMPUNI YA FILAMU NCHINI MAREKANI

napoleonNEW YORK: Muigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka nchini Tanzania, anayefahamika zaidi kupitia filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon (pichani), ameteuliwa kusimamia kampuni ya Kimataifa ya utengenezaji na usambazaji filamu, D Street Media Group, kama Rais.
 
Kampuni hiyo yenye Makao Makuu yake katika nchi anayoiongoza Rais Donald Trump, Marekani kwenye jiji la New York na Ofisi Mjini Berlin, Cape Town na Buenos Aires, Napoleon atakuwa na cheo cha pili kwa ukubwa baada ya...

DITTO KUMRUDISHA AFANDE SELE KWENYE MUZIKI MWAKA HUU

ditto-1
Lameck Ditto (kushoto) akiongea na Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Saleh Ally (kulia). Mkali wa Bongo Fleva anayetikisa kwa sasa na wimbo wake ‘Moyo Sukuma Damu’, Lameck Ditto, amesema yupo katika mchakato wa kurudisha utaratibu wa albamu na katika albamu yake mpya upo wimbo alioshirikiana na Mfalme wa Mashairi, Selleman Msindi ‘Afende Selle’.

Ujio wa albamu hiyo utamrudisha Afande Selle kwenye game na Ditto anaamini msanii huyo ana uwezo mkubwa sana na mwenye...

BIBI KIZEE WA MIAKA 60 AKUTWA AMEFARIKI HUKU AKIWA NA VIBUYU NA KUKU MWEUPE

Bibi mwenye umri wa miaka 60 amekutwa amekufa mkoani Tabora huku amevaa nguo nyeusi aina ya kaniki, akiwa na vibuyu vitano na kuku mweupe, katika mazingira yanayoashiria kushiriki vitendo vya kishirikina.

Aidha, mwili wa mtu mwingine umekutwa pembeni ya mti aliokuwa akichimba dawa.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Hamis Selemani iliwataja waliokutwa wamekufa kuwa ni...

Download: Tom D ft Galatone_Talaka


Download

DARASSA AZUIWA KUACHIA NGOMA MPYA


Muziki imekua ni ngoma ya kihistoria katika maisha ya Darassa pamoja na Bongo Flava kwa ujumla kwa sasa. Naweza kusema ni ngoma ambayo imeishi muda mrefu na bado inazidi kufanya vizuri. 

Haikuwa mategemeo yangu kuona watu watagoma kupokea kazi nyingine kutoka kwa mbabe huyo wa ‘Muziki’ ambaye ametumia ukurasa wake wa Instagram kuuliza kama...

HAWA NDIYO WATOTO WA MASTAA WA BONGO WANAO TIKISA MTANDAONI

screenshot_2017-01-22-11-38-09-1
Tukianza na mtoto wa Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’,  Princess Tiffa amekuwa gumzo kila kukicha kwa mtoto mdogo kuwa na jina kubwa kuwashinda...

DIVA WA CLOUDS ADATA NA PENZI LA MWANAMUZIKI WA BONGO FLEVA

Diva ndani ya Penzi Jipya na mwanamuziki wa Bongo Flava anayejulikana kama Heri Muziki, penzi la wawili hao lilianza baada ya Diva kumwalika Mwanamuziki huyo katika kipindi cha Ala za roho kinachorushwa na Redio ya Clouds Fm. 

Diva amepost ushahidi wa penzi lao kw kupost video wakidendeka na kuandika haya hapa chini . #Regrann from @divathebawse - @herimuziki is The Key to...

Sunday, January 22, 2017

MAMBO MUHIMU YANAYO MFANYA MJAMZOTO KUWA NA AFYA BORA

Image result for PREGNANCY Kula chakula cha kutosha chenye virutubishi

Mchanganyiko wa chakula chenye virutubishi kitamfanya mwanamke awe na nguvu na afya; aweze kupata nguvu za kujifungua na kumhudumia mtoto. Kama mwanamke mjamzito hali chakula cha kutosha, inawezekana anawachia chakula wana familia wengine, au mama mkwe kwa nia njema katika uelewa wake amemwambia asile baadhi ya vyakula au asiongezeke uzito ili...

HII NDIYO KAULI YA FID Q BAADA YA KUIONA POST YA MH PAUL MAKONDA

Kwenye ile orodha ya mashabiki wa damu wa Mwanahiphop Fid Q inabidi umuongeze na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ambaye January 20 alitumia time yake kupost kipande cha video ya Fid Q na kuandika: ’Hakika umetubeba hakuna bingwa na mbabe ktk anga hizi kama wewe, huna mbwembwe na ujumbe unafika’ #Mzikimgum

Baada ya Fid Q kuiona hiyo post amemshukuru Paul Makonda kwa kuandika ‘Shukrani sana Mheshimiwa mwenye DAR yake @paulmakonda – kiukweli...

Saturday, January 21, 2017

HIKI NDICHO USICHO KIJUA KUHUSU AJE RXM YA ALIKIBA



Aje ni wimbo wa Alikiba uliompa mafanikio makubwa mwaka jana ikiwemo tuzo kadhaa za video bora ya mwaka ikiwemo ile ya Soundcity MVP Awards. Baada ya kuwepo version yenye verse toka kwa rapper Jude ‘M.I’ Abaga aka Mr Chairman wa Nigeria iliyovuja hata kabla ya official video, mashabiki walikuwa wamekaa tamaa kuwa hakutokuwepo na official remix yake.

Habari njema ni kuwa, Alikiba anaileta remix official ya Aje. Na tena itakuwa ni video. “Ndio, remix inayokuja ndio ambayo yuko M.I na ina utofauti than the one that...

WANA SAYANSI WATENGENEZA NYAMA MAABARA INAYO FANANA NA YA NG'OMBE HADI RADHA

DUNIA inabadilika kwa haraka kutokana na maendeleo katika sekta mbalimbali. Teknalojia nayo inakua kwa kasi huku ikitoa mchango mkubwa katika maendeleo ya binadamu. Siku hizi Dunia inashuhudia uvumbuzi wa teknalojia za kisasa katika nyanja za kilimo, afya, nishati na nyingine nyingi.

Leo katika safu hii, nitajadili namna ambavyo wanasayansi walivyofanya jitihada za kutengeneza nyama katika maabara. Ndiyo, sasa si lazima kuhangaika kufuga na kupata usumbufu wa...

DIAMOND PLATNUMZ ASAINI DEAL NONO LA MAMILIONI YA PESA

Diamond Platnumz ametoka kusaini endorsement deal nyingine inayovujisha udenda mdomoni (mouth-watering deal), Mambo yote yamefanyika Ijumaa hii kwenye ofisi zake. Wakati Donald Trump akisherehekeaa kuapishwa Rais mpya wa Marekani, Chibu alikuwa makao makuu ya WCB na uongozi wake wakisherehekea kusaini deal hilo.

“Jus Pined out! Another deal today! Thank you God for the #Blessing,” aliandika kwenye...

KUTANA NA MTU MWENYE NGUVU ZAIDI DUNIANI KUTOKA PAKSTAN

Tangu vikatuni vya Hulk, jitu la kutisha na lenye nguvu ijapokuwa la kufikirika vilipoanzishwa mapema katika miaka ya 1960, mashabiki wamekuwa wakishangazwa na ushupavu au nguvu zaidi kuliko ghadhabu zake.

Tangu hapo kikatuni hiki kikapata nafasi katika tasnia ya filamu, ambako alizidi kujipatia umaarufu miongoni mwa mashabiki kwa...

Download: Nolesy x Mtafya (Mtafire)_Zaba


Download

Watch & Download: Madee_Hela (Official Video)


Watch Here

Freestyle Download: T-Sigwa vs Lord Bullet (Watch & Download)


Michano 101 🌊
@Lord_bullet v/s @official_t_sigwa

Itizame link ipo kwenye bio yangu👆

Download

FID Q: NIPO TAYARI KUFANYA COLLABLE NA NAY WA MITEGO


Msanii wa muziki wa hip hop, Fareed Kubanda aka Fid Q amedai yupo tayari kufanya kolabo na rapper Nay wa Mitego kwa kuwa ni mmoja kati ya wasanii wa hip hip ambao wanafanya vizuri.

Alisema hayo baada ya hivi karibuni kupitia kipindi cha Planet Bongo ya EA Radio, Nay wa Mitego amemtaja Fid Q kuwa miongoni mwa rappers anaowakubali zaidi Bongo na kusema kuwa hastahili kufananishwa naye sababu yeye ni...

Download: Viva Concious ft Stamina, Becka Tittle, Darassa, King Kapita x Cuca_Mchezo Mbona Simple


Download

RAY NA CHUCHU HANS WAMKOPI TABIA ZA DIAMOND NA ZARI


Tiffah ni mtoto maarufu zaidi kwenye mtandao wa Instagram Afrika akiwa na followers zaidi ya milioni moja. Mdogo wake, Nillan naye anafuata nyayo zake akiwa na followers zaidi ya 99k sasa. Akaunti zao husimamiwa na mama yao, Zari na hutumia Kimombo.

Na sasa mtoto mwingine wa mastaa wa Bongo, Jaden naye amejiunga kwenye kundi la watoto wa aina hiyo. Jaden ni mtoto wa Ray Kigosi na Chuchu Hans aliyezaliwa wiki hii na tayari amefunguliwa...

AIM YA NAVY KENZO YAWA ALBUM YA KWANZA TZ KUUZWA KTK MITANDAO MIKUBWA



Baada ya kuachiwa kwa mfumo wa CD, album ya Navy Kenzo, Above In A Minute (AIM), imeingia online kwa kishindo. Sasa watu wanaweza kustream album hiyo kupitia iTunes, Spotify, Tidal, Akazoo na Boom Player. Kupitia Boom Player unaweza kustream bure kabisa. Hii ni mara ya kwanza kwa album ya Tanzania kuingia mtandaoni kwa uzito huo.

Tangu itoke, AIM imepokea maoni chanya zaidi na kutajwa kuwa miongoni mwa album...

MHESHIMIWA PAUL MAKONDA AANDIKA HAYA MTANDAONI KUHUSU FID Q


Muziki mzuri humgusa kila mmoja, bila kujali umri wala cheo cha mtu. Ndicho ambacho kimetokea kwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh Paul Makonda baada ya kukolezwa na mistari kuntu ya Fid Q kwenye ngoma ya Roho ambayo kamshirikisha King of the best  melodies Christian Bella, hiki ndicho ambacho kakiandika kwenye page yake ya instagram.

Mheshimiwa paul ameandika:  Hakika umetubeba hakuna bingwa na mbabe ktk anga hizi kama wewe, huna...

DOKII: NIPO TAYARI KUOLEWA NADARASSA KAMA ATAKUWA TAYARI


Msanii wa filamu, Dokii ameamua kufuata nyayo za Stereo kwa kuamua kumchana rapper Darassa kuwa anampenda. Muigizaji amedai kwa sasa anamkubali sana Darassa kupitia kazi yake ya muziki, lakini yuko tayari kuolewa naye endapo Darassa mwenyewe atahitaji hilo.

“Nampenda sana Darassa, i love him, nampenda kwa sababu ya kazi yake, lakini sijawahi kumwambia, he is handsome….Darassa mi nampenda kazi yake but is very handsome, so what do you expect?… Mie sina mtu kwa sasa, so kama...

Watch: Stoke City vs Man Utd (Live Stream)


Watch Here

HIZI NDIYO FAIDA ZA KULA NYANYA CHUNGU (NGOGWE)

mbuzi 2Nyanya chungu au ngogwe ni tunda ambalo wengi tumekuwa tukilitumia kama mboga au kiungo kimoja wapo katika kunogesha mboga lakini wachache mno wanaojua faida zake kiafya.

Pamoja na kufanya mboga kuwa na ladha na harufu ya aina yake, nyanya chungu zina kazi kubwa katika mwili wa binadamu ikiwa ni pamoja na...

NIKKI WA II: UCHUMI WA NCHI UMEFANYA UMEFANYA MASHABIKI KUKACHA SHOW

nikki-wa-piliRapa anayefanya poa katika Muziki wa Hip Hop Bongo, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ amekiri mashabiki wengi kuacha kujitokeza katika shoo mbalimbali nchini kutokana na uchumi kuyumba.

Akizungumza na Showbiz, Nikki wa Pili anayebamba na Ngoma ya Sweet Mangi alisema, amekuwa akisikia kuyumba kwa uchumi na wasanii wengi wa Bongo Fleva wamekuwa wakitegemea kupata...

HIZI NDIYO AINA ZA VYAKULA MWANAMKE ANAPASWA KUMPA MWANAUME ILI AMFURAHSHE KITANDANI

Nimeamua kuzungumzia ishu ya vyakula baada ya kuwasikia baadhi ya shoga zetu wakiwalalamikia waume zao kwamba hawawakati kiu wakati wa chakula cha usiku.

Nilipomwuliza mmoja wa wenzetu hao chakula anachopendelea kumpa mumewe, akaniambia ubwabwa, tambi, chipsi mayai na mishkaki, Baada ya shoga yetu huyo kuniambia hivyo, nilimwuliza kama mista wake ni mtu wa kilaji, akasema...

HAYA NDIYO MANENO YA NAIBU WAZIRI WA AFYA SHABIKI NAMBA MOJA WA FID Q


Muziki wa Bongofleva unaendelea kufanya vizuri na sasa hivi imekua sio ajabu sana kuona viongozi mbalimbali wa Tanzania wakitoa saluti za kutosha kwa vijana wa Kitanzania waliojiajiri kwenye sanaa.

Naibu Waziri wa Afya Dr. Hamis Kigwangalla hajaficha ushabiki wake kwa kusema yeye ni miongoni mwa wanaomfatilia kwa sana mwanahiphop Fid Q na mistari yake iliyo

ROMA: SIJAWAHI KUBEBWA KWENYE MUZIKI

Msanii wa Hip Hop Roma Mkatoliki ameseama katika historia ya maisha yake kimuziki hajawahi kubebwa wala kusaidiwa na msanii yeyote wa hapa nchini.

Akiongea kupitia eNewz, Roma amesema katika maisha yake hakuwahi kusaidiwa hata 'kolabo' hivyo asije akasimama msanii yeyote akasema kwamba amemsaidia kimuziki japo...

SUMA G: MUZIKI BADO UNAENDESHA MAISHA YANGU

Rapa Suma G ambaye aliwahi kutamba na ngoma kibao kali kama 'Vituko uswahilini', Demu wako na pia alikuwa akiunda kundi la Hotpot Family amefunguka na kusema mpaka sasa anaendesha maisha yake kwa muziki. Suma G akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio amesema mpaka leo anapata show na kufanya show mikoani na kupata pesa ambazo zinamsaidia kuendesha maisha yake ya kila siku.

"Nipo kwenye muziki ingawa mara ya mwisho kutoa kazi mpya ni kama miaka miwili hivi, ila mpaka sasa naendelea kufanya movements za muziki na muziki huohuo unafanya niendelee kuishi mpaka leo. Huwezi amini mimi...

NASH MC AMTAJA MFALME WA MARAPA TANZANIA

Baada ya Rapa Young Killer, Roma na Nay wa Mitego kutaja list ya wasanii wa Hip hop ambao wanawakubali kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Rapa Nash MC amefunguka na kuwataja wasanii wa rap ambao anawakubali.

Nash amekuwa tofauti na wengine kwa kutomtaja msanii hata mmoja wa hip hop na kusema kuwa aliyekuwa star wa twanga Pepet..,

MO DEWJI ATWAA TUZO YA JARIDA LA AFRICAN LEADRSHIP


Mtanzania mfanyabiashara maarufu na Rais wa Kampuni ya MeTL Group, Mohammed Dewji (MO) ,ameibuka mshindi wa tuzo ya Mtu aliyefanya vizuri katika Uongozi kwa Mwaka 2016 inayotolewa na Jarida la African Leadership. 

Dewji ambaye ni miongoni mwa watu wakarimu Afrika aliibuka na ushindi huo kwa kupata kura asilimia 60.8 dhidi ya John Mahama,Rais mstaafu wa...

Friday, January 20, 2017

BAADA YA KAULI MBOVU KUTOKA KWA NAY SASA MADEE ATUPA JIWE GIZANI



Tangu imeachiwa ngoma ya Hela yakwake Madee kumekiwa na maneno ambayo yanachukuliwa kama ni majibizano kwa wakali wa muziki mahasimu wanaotoka sehemu moja Manzese Dar es Salaam Madee na Nay wa Mitego.

Picha lilianza kwa Nay wa Mitego baada ya kuandika katika ukurasa wake wa instagram kuwa amesikia wimbo mbaya kuliko nyimbo zote ambazo zimetoka kwa mwaka huu wa 2017, ikiwa ndio siku ambayo Madee...

AIKA AZUNGUMZIA ISHU YA NAVY KENZO KUFANYA KAZI NA PAH ONE


Kama ulikuwa hauja sanuka acha nikusanue, kabla halija zaliwa kundi la Navy Kenzo lilikuwepo kundi la Pah One, kundi ambalo liliviunganisha vichwa kibao wakiwemo Nahreel na mwanadada Aika ambao leo wanaliunda kundi la Navy Kenzo kabla ya kutofautiana na washkaji zao wa Pah One.

Story nyingi zilisikika kuhusu mfarakano huo wa kundi la Pah One ikiwemo ma-beef na vitu kama hivyo hadi pale D’Weekend Chatshow ya Clouds TV ilipoamua kuwakutanisha wakali hao na...

DIAMOND KUJA NA TAMASHA LA DIAMONDS ARE FOREVER 2017



Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam SK aka ‘Fundi Mitambo’ ametangaza ujio mpya wa tamasha kubwa la Diamonds Are Forever 2017 ambapo safari hii litafanyikia katika uwanja wa Taifa. Muimbaji huyo alifanya tamasha hilo kwa mara ya kwanza nchini mwaka 2012 katika ukumbi wa Mlimani City show ambayo ilihudhuriwa na watu wengi kwa kiingilio cha Tsh 50,000 na 100,000 kwa VIP.

Sallam akizungumza live na mashabiki katika mtandao wa Instagram (Insta Live) alisema show hiyo ipo kwenye maandalizi na itafanyika...

CHALE 21 ZA DIAMOND PLATNUMZ ZAZUA GUMZO

dai1
Alama 21 zinazodaiwa ni chale zinazopatikana mgongoni mwa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ zimezua mambo baada ya juzikati picha yake kutupiwa mtandaoni ikizionesha kwa uwazi na kuibua mjadala mzito.

Picha hiyo iliyotupiwa mtandaoni ilimuonesha Diamond akiwa kwenye moja ya shoo alizofanya hivi karibuni huku akizungushiwa eneo ambalo lilionekana kuwa na chale, jambo lililowafanya...

MADEE AFUNGUKA KUHUSU ISHU YAKE YA KUPORWA SIMU

Msanii wa bongo fleva Madee amesema hajutii matusi yanayotukanwa kupitia mitandao ya kijamii kuwa amepora simu kwa kuwa wanaomtukana hawaujui ukweli na wakiujua watatulia.

Akionge kupitia eNewz Madee amesema hajapora simu bali alikuwa anadai pesa ambayo aliitoa kwa ajili ya kufanyiwa kazi na badala yake haikufanyika jambo lililomfanya aende kwenye vyombo vya sheria kwa ajili ya kurudishiwa pesa yake, na ndipo...

P FUNK AIKUBALI NGOMA MPYA YA MADEE "HELA"


‘Hela imeletaga vita, imeua majita ilimradi balaaa’ ni moja ya kipande cha wa wimbo mpya wa madee “Hela”, ambao umemfanya Pfunk kunyoosha mikono juu ya wimbo huu.

Licha ya kuwa na maneno ya hapa na pale yakutupiana mawe gizani kati ya Nay wa mitego pamoja na Madee kuhusu ujio huu mpya wa “Hela”, P Funk majani ameonyeshwa kuikubali ngoma hii ambayo...

MANUKATO YA DIAMOND KUINGIA SOKONI MUDA WOWOTE


Chibu Perfume za mkali wa wimbo Salome, Diamond Platnumz zitaingia sokoni muda wowote kuanzia sasa kwa mujibu wa Sallam, meneja wa masanii huyo. Mwaka 2016 muimbaji huyo alionyesha sample ya perfume hizo hali ambayo ilileta shauku kumbwa kwa mshabiki wa muimbaji huyo.

Ijumaa hii meneja wa msanii huyo, kupitia ‘Insta Live’ amedai tayari mzigo wa perfume hizo umeshaingia mjini na utapatikana katika maduka mbalimbali nchini.
“Mzingo umeingia, utapatikana...