![Instagram photo by ------ ------------_BO - JPG](http://www.perfect255.com/wp-content/uploads/2017/01/Instagram-photo-by-%E2%80%8C-%E2%80%8C-%E2%80%8C-%E3%80%80%E2%80%8C-%E2%80%8C-%E2%80%8C-%E2%80%8C-%E2%80%8C-%E2%80%8C-_BO-JPG-696x696.jpg)
Jana usiku wa manane mkali wa Bongo Fleva Diamond Platnumz alikuwa aki-stream live akipiga story na mashabiki wake katika mtandao wa Instagram, Ndipo midadi zikampanda mkali huyo na kuamua kuwaonjesha kiduchu mashabiki zake ngoma yake ambayo haijaachiwa inayoitwa Baila.
0 comments:
Post a Comment