Pages

Subscribe:

Friday, January 20, 2017

NAY WA MITEGO AMSIHI RAYMOND AMWANDIKIE MADEE NYIMBO



Nay wa Mitego ameuweka uhasimu wake na Madee kwa kumuomba Raymond amsaidie rais huyo wa Manzese kumwandikia nyimbo. Nay alitoa ushauri huyo baada ya watangazaji wa kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, kumsikilizisha wimbo mpya wa Madee, Hela akiamini kuwa hauna kiwango cha kuridhisha.

“Nimeusikiliza, nimemuona Raymond anatakiwa kurudi sehemu kuwasaidia kaka zake,” alisema Nay. Kwa muda sasa Nay na Madee wamekuwa...
kwenye uhasama kimuziki.

0 comments:

Post a Comment