Pages

Subscribe:

Monday, January 23, 2017

HAWA NDIYO WATOTO WA MASTAA WA BONGO WANAO TIKISA MTANDAONI

screenshot_2017-01-22-11-38-09-1
Tukianza na mtoto wa Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’,  Princess Tiffa amekuwa gumzo kila kukicha kwa mtoto mdogo kuwa na jina kubwa kuwashinda... watoto wengine kutokana na ustaa wa wazazi wake.screenshot_2017-01-21-21-34-22-1
Mtoto wa Hemed Suleiman (PHD)
Hali hiyo imekuwa pia kwa mastaa wengine ambao nao wanawaandaa watoto wao kuwa mastaa. Mtoto wa staa wa filamu Bongo, Hemed Suleiman, anaonekana kuwa gumzo kwa kusifiwa na mashabiki wa Hemed (PHD) kuwa mtoto huyo ni mzuri kuwashinda watoto wengine kwa muonekano.screenshot_2017-01-22-11-39-56-1
Dina Marious na mwanaye.
Aidha Babu Tale ameonekana mara nyingi katika mitandao ya kijamii akiweka alama za mitihani ya mwanaye zikionesha ufaulu wa mtoto wake. Mtoto wa Aunt Ezekiel na Moze Iyobo dansa wa Diamond naye ametajwa katika watoto gumzo mtandaoni ambao wanafuatiliwa na mashabiki wengi zaidi kutokana na ustaa wa wazazi wake.screenshot_2017-01-22-11-37-07-1
Watoto was Zamaradi Mketema.
Wapo watoto wengi kama vile Mariam mtoto wa MC Pilipili, Juju mtoto wa Zamaradi Mketema, mtoto wa Munaa Love, mtoto wa Esma Platnumz na mzazi mwenzake Petit Man Wakuache, Mtoto wa Tudd Thomas, mtoto wa Kajala, mtoto wa Faiza Ally, mtoto wa DJ Choka, mtoto wa Dina Marious na wengine wengi.screenshot_2017-01-22-11-41-07-1
Paula Paul mtoto wa ‘Kajala’ akiwana rafiki yake.

0 comments:

Post a Comment