Pages

Subscribe:

Saturday, September 30, 2017

WOLPER: FID Q NI MTU MWINGINE NINA NYIMBO ZAKE TANGU ANAANZA MUZIKI



Muigiza wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ameeleza mahaba yake ya kimuziki kwa rapper Fid Q. Wolper amesema amekuwa akifuatilia muziki wa Fid Q toka mwanzo msanii na huyo hajawahi kutoa wimbo kwake ukawa mbaya.

“Fid Q namba nyingine kabisa, namba chafu yaani ni mtu ambaye namkubali sana, nina ngoma zake toka anaaza muziki hadi ya jana...

DIAMOND AFUNGUKA HAYA BAADA YA KUKAMILISHA COLLABLE NA MJAMAICA



Kupitia wimbo wa ‘Hallelujah’ umekufunza nini? Hilo ndio swali ambalo Diamond anawauliza mashabiki wake kwa sasa. 

Kwa Diamond ambaye ndio msanii husika wa wimbo huo umemfundisha jambo moja kubwa ambalo ni uwoga wa wasanii wetu wa Bongo wa kushindwa...

UJUMBE WA ALIKIBA WAASHIRIA NGOMA MPYA MUDA WOWOTE



Msanii wa Bongo Flava, Alikiba huenda akatoa ngoma mpya muda wowote. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma Seduce Me katika ukurasa wake wa mtandao wa Instagram ameandika ujumbe ambao kwa kiasi fulani unahashiria ujio wa ngoma mpya.

Ujumbe huo ambao ulilenga kumpongeza msanii mwenzake, Abby Skillz kwa kufunga ndoa uliishia kwa kudokeza hilo. ''Hongera Mkongwe nakutakia Kheri Na mafanikio Katika Ndoa Yako'' Na ngoma Mpya...

Download: J Martins ft Serge Benaud x Christian Bella_Uuuu Bebe


Download

Download: Trubadour ft Young Killer_Nilipotoka (rmx)


Download

Download: Melody Santana_Dondosha


Download

Watch & Download: Nuh Mziwanda_Bao La Ushindi (Official Video)


Watch Here

Download: Chevy Woods ft Wiz Khalifa_My Shit


Download

ZARI AVUNJA UKIMYA AFUNGUKA HAYA BAADA YA DIAMOND KUACHIA WIMBO MPYA


Some things need no caption but only thanks giving to the supporters of good music. Congz👏

Wiki mbili zilizo pita baada ya Diamond kukiri kuzaa na Mobeto ilizuka mijadala mingi na mbaya zaidi ni pale ambapo kwenye instagram account ya Zari ilionekana ikiwa imefutwa picha zote za Diamond kitu kilicho pelekea maneno kuongezeka mtaani na watu kudai kuwa wawili hao ndiyo baasi tena.

Lakini leo baada ya Diamond  kufikisha Views Milioni 1 ndani ya saa 15 zari amejitosa kwa kuamua kuipost picha hiyo hapo juu na kuandika...

SHOLO MWAMBA ATOBOA SIRI YA UGOMVI WA DOGO JANJA NA YOUNG D CHANZO NI MUNA

Msanii wa Singeli bongo Sholo Mwamba ametoa siri ambayo wengi walikuwa hawafahamu juu ya ugomvi wa Young Dee na Dogo Janja na kusema Muna love ndio chanzo cha bifu hilo kubwa kwa sasa. 

Sholo Mwamba amesema alishawahi kuwakuta wasanii hao na bosi wake 'Muna Love' wakijiachia na...

POST YA DIAMOND BAADA YA KUFIKISHA VIEWS MILLION 1 NDANI YA SAA 15



“Nyota njema huonekana asubuhi,” hilo limeanza kuonekana katika wimbo mpya wa Diamond, Hallelujah.

Msanii huyo wa WCB, kupitia mtandao wa Instagram ameonyesha kutoamini kwa kile kinachotokea kupitia wimbo wake huo baada ya kuweka rekodi ya kutazamwa zaidi ya mara milioni moja katika mtandao wa YouTube ndani ya masaa 15. Diamond ameandika...

Download: Demi Lovito ft Lil Wayne_Lonely


Download

WASANII WA MAREKANI WAANZA KUCOPY STYLE YA WIZKID


Kupitia Episode ya Complex News Everyday Struggle inayo simamiwa na rapper Joe Budden pamoja na Dj Akademiks,sasa iko hivi Joe Budden bhana kafunguka kuhusu Wasanii wa Marekani kumkopi Wizkid staili yake ya muziki lakini Mwisho wa Siku wanashindwa kumpa Sapoti kwa kununua Album yake ya The Sound From The Other Side.

Katika show hiyo ambayo huwa kuna kuwa na mazungumzon mengi kuhusu mambo mbali mbali yanayo husiana na mambo mbalimbali ya muziki sasa ukiachana na inshu ya Wizkid ishu nyingine ni...

NEDY MUSIC AWATAKA WASANII WAACHANE NA MAISHA YA KUIGIZA



Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Nedy Music amesema si vizuri kwa wasanii kuishi maisha ya kuigiza. Muimbaji huyo kutoka label ya PKP amesema msanii kuishi maisha ya namna hiyo ni kitu kibaya kwani anataka kuwaaminisha watu kuwa ndivyo alivyo wakati sivyo.

“Msanii mwingine anaweza akafanya hivyo kwa ajili ya kuonekana kwa watu kuwa ana muonekano fulani wakati hana, mwisho wa siku anapokuja...

JOKATE AVUNJA UKIMYA AFUNGUKA HAYA JUU YA WIMBO MPYA WA DIAMOND


Diamond anaweza kwa sasa akawa anafungua chupa za Champagne kutokana na mafanikio ya masaa machache ambayo yameanza kuonekana kupitia wimbo wake mpya ‘Hallelujah’ ambao amewashirikisha Morgan Heritage kutoka jamaica.

Jokate Mwegelo ni miongoni mwa mastaa wa Bongo ambao wameonekana kuuzimikia wimbo huo kutokana na...

Wednesday, September 27, 2017

BAADA YA KIBA KUJIITA KING SASA SWIZZ BEATZ AMPA DIAMOND JINA LA KING


serena-williams-alexis-ohanian-0aac7472-11f0-4057-ae24-fe7625d570a8-400x242-2
Milango ya kuwateka mastaa wa Marekani inaendelea kufunguka kwa Diamond. Baada ya Dj Khaled kumfollow na rapper Rick Ross kumpost hitmaker huyo wa Eneka kwenye mtandao wa Instagram, Swizz Beatz na yeye ameamua kufuata nyayo kama hizo.

Swizz ameonekana katika kipande ha video akimtaja Diamond. Hata hivyo haikuishia hapo producer huyo ambaye pia ni mume wa msanii Alicia Keys ame-comment katika video hiyo ambayo Diamond...

Download: Amber Lulu ft Ice Boy_Kumoyo


Play Here 

Download

TETESI ZA UJAUZITO WA DILLISH, DIAMOND PLATNUMZ AHUSISHWA


Mshindi wa shindano la Big Brother Afrika mwaka 2013 kutoka nchini Namibia, Dillish Mathews huenda akawa ni mjamzito. 

Hii ni kutokana na picha aliyoweka Instagram jioni hii ikimuonesha akiwa ameshika tumbo lake na kuandika, “A baby...

AFYA: MAYAI SI MBOGA TU BALI YANAKAZI HII KIAFYA

YAI limekuwa na matumizi kama chakula kwa muda mrefu, wapo ambao hutumia chakula hicho kwa kukaanga, kuchemsha, kunywa likiwa bichi na au kuchanganya katika vyakula vingine mbalimbali.Lakini pia kuna matumizi ya Yai zaidi ya chakula, kwani linauwezo mkubwa wa kurutubisha ngozi, nywele na pia kuondoa uchovu.
Jinsi ya kufanya ukitaka kutumia Yai kuboresha muonekano wa ngozi na nywele zako.
Chukua Yai, changanya na asali kijiko kimoja cha chai mafuta ya Olive. Chukua mchanganyiko huo kisha...

CHINA WAWEKA WAZI SABABU ZA KUUFUNGIA MTANDAO WA WHATSAPP


Image result for China closed whatsapp
Serikali ya watu wa Uchina imefanya maamuzi mengune ambayo kwa namna moja au nyingine yanaweza yakawa na tija katika kuendeleza maendeleo katika taifa hilo amabalo limekuwa kwa kasi kiuchumi.

Baada ya kufungia huduma ya kupiga simu na kutuma video na picha kwenye mtandao wa Whatsapp, Serikali ya China imeamua kuzima kabisa matumizi ya Whatsapp kwa...

ASLAY KUJA NA WASIKUDANGANYE RMX YA NANDY


Licha ya kutoa mfululizo wa Hit songs kibao zenye ujazo kwa mashabiki zake,Aliyekuwa member wa kundi la Yamoto Band Dogo Aslay Ukimuuliza sasa hivi nyimbo ambazo anatamani ingekuwa ya kwake basi ungepata jibu moja tu.

Msanii huyo ameweka wazi kuwa nyimbo ambayo anaikuabali na angetamani ingekuwa yake ni nyimbo ya mwanadada nandy ambae anafanya vizuri kwasasa na nyimbo yake ya wasikudanganye,sasa msanii huyo amesema...

FOYD MAYWEATHER AWEKA PICHA YA MC GREGOR NDANI MWAKE

Floyd Mayweather has unveiled a new piece of art at his Beverly Hills mansion
Bondoa Floyd Mayweather ametambulisha mjengo wake mpya lakini cha ajabu ni kwamba ndani ya mjengo huo kuna picha ya bondia mwenzake ambae alipambana nae mwezi wa nane na kumpiga kwa TKO Conor Mc Gregor,mpaka sasa bado aijajulikana kwanini lakini picha hizo zimeonekana kumvuti sana bondia huyo wakati picha hizo zikiwa zime nakshiwa kwa vipande vya...

WANAWAKE WARUHUSIWA KUENDESHA MAGARI RASMI


Serikali ya Saudia Arabia imetoa ruhusa kwa wanawake nchini humo kuendesha magari. 

Idhini hiyo imetolewa na Mfalme Salman bin Abdulaziz, na itabaki kuwa historia kwa taifa hilo. Uamuzi huu umefikiwa kutokana na harakati za muda mrefu kwa makundi ya wanawake na haki za bindamu kushinikiza...

DAYNA NYANGE: SIJAMISS TENA KURAP KWANI KUIMBA KUMENIFAA



Msanii wa muziki Bongo, Dayna Nyange amemtaja Nikki wa Pili kama mtu aliyepelekea kuacha muziki wa rap na kuanza kuimba.

Muimbaji huyo amesema kuwa kipindi cha mwanzoni alikuwa na uwezo mzuri katika rap na kulikuwa na mipango ya kusaini B Hit’s ambapo mara nyingi alikuwa na AY kama mshauri wake lakini Nikki wa Pili alimueleza...

ALIKIBA: KISWAHILI SI KIKWAZO KWENYE MUZIKI WANGU


Muda mfupi ujao nitakuwa on XXL ya @cloudsfmtz na @bdozen @mamybabytz @perfectcrispin kwenye #JiweLaWiki 
#SeduceMe
#Rockstar4000
#KingKiba
Alikiba ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Seduce me' amefunguka na kusema kuwa lugha ya Kiswahili si kikwazo kwake na muziki wake kufika kimataifa na kusema yeye anajivunia kutumia lugha hiyo ambayo kwa sasa ni kati ya lugha kubwa duniani. 
Alikiba alisema hayo alipokuwa akihojiwa wiki kadhaa zilizopita na kusema anajisikia fahari kutumia lugha ya Kiswahili katika muziki wake na kusema kufanya hivyo inasaidia...

MADEE: MAMA YANGU ANANILAUMU KWA KUWASAIDIA WATU BAKI

Msanii Madee ambaye leo ameachia kazi yake mpya wa 'Sema' aliomshirikisha msanii wa kike Nandy, amesema anapata wakati mgumu sana kutoka kwa mama yake kwa kitendo chake cha kuwasaidia watu baki kuliko ndugu zake. 

Madee amefunguka na kusema kwamba mama yake huwa anamshangaa sana kwa kitendo hicho, ambacho kimeweza kuibua...

NIKKI WA PILI: NINGEFURAHI KUONA DOGO JANJA NA YOUNG D WANASHINDANA KIMUZIKI

Msanii kutoka kampuni ya Weusi, Nikki wa Pili ameingilia kati ugomvi wa Dogo Janja na Young Dee na kusema kwamba wanapaswa kushindana kimuziki na siyo kushambuliana katika maisha yao binafsi kwani jambo hilo linaweza kuja kuwaletea madhara kwa baadae 

Nikki wa Pili amesema hayo baada ya kupita siku kadhaa tokea Dogo Janja kutoa kauli yake ya kukataa kufananishwa na Young Dee kwa madai ni 'mteja wa unga' jambo ambalo...

Watch & Download: Cjamoker_Upande Wangu (Official Video)


Watch Here

Download: Dee Pesa ft G Nako, Cpwaa, Jack Chant x Angel Marrykato_Nesa


Play Here 

Download

Download: Barnaba_Nampaga


Play Here 

Download

Download: SSK (Sisi Siyo Kundi) ft Nadee_Slow Down


Play Here 

Download

Download: Madee ft Nandy_Sema


Play Here 

Download

Tuesday, September 26, 2017

NIKKI WA PILI AFUNGUKA SABABU ZA WEUSI KUTO SAINI WASANII


Msanii wa muziki wa hip hop Bongo kutoka kundi la Weusi, Nikki wa Pili amefunguka sababu za wao kutosaini wasanii. Rapper huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Kihasara’ amedai kuwa kuamua kumsaini msanii ni kukubali kubeba ndoto zake zote alizonazo kitu ambacho kwa sasa hawapo tayari.

“Ukisema unafungua label au una kumsaiini mtu, ina maana anakukabidhi ndoto zake mikononi mwako, je unaweza kuzifikisha??, watu wanataka...

GODZILLA: SIJATIMULIWA MJ NIPO BIZE KUREKEBISHA STUDIO ZA SALASALA



Msanii wa Hip Hop Bongo, Godzilla amekanusha kauli iliyotolewa na Producer kutoka MJ Records, Daxo Chali kuwa ametimuliwa kutokana na kushindwa kufanya baadhi ya mambo waliokubaliana baada ya kutoa ngoma ya X.

Zilla amedai kuwa hajatimuliwa MJ kama inavyodaiwa na Daxo  na yeye kufanya kazi katika studio zingine ni kutafuta...

PETIT MAN AFUNGUKA JUU A PICHA YAKE NA MOBETO ILIYO SAMBAA



Petitman mume wa Esma Platnumz ambaye ni dada yake Diamond amelazimika kuvunja ukimya baada ya picha zinazomuonyesha akiwa na Mobetto katika hali ya mahaba.

Petit ambaye ni meneja wa Billnass na Country Boy, amedai picha hizo zimesambazwa kwa lengo la kumchafua yeye pamoja na familia yake. “Picha zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii ni...

RAPA KUTOKA MAREKANI B.O.B AFANYA JAMBO HILI ILI KUTHIBITISHA KUWA DUNIA SIYO DUARA

B.o.B
Rapper B.O.B ameamua kuiweka aibu pembeni na kuamua kukomaa na mawazo yake kwamba Dunia ipo Flat na wala sio duara, Ili kuakikisha hilo liafanikiwa ameamua kukusanya fedha kwa ajili ya kusibitisha kwamba Dunia ipo Flat.

Najua utakuwa unacheka sana, ila Mshikaji wazo lake alilitoa January mwaka huu kwa mashabiki zake. Sasa Ili kufanikisha akaamua kuanzisha mfuko wa kuchangia Mitonyo ili kuhakikisha vinatafutwa vifaa na kupelekwa...

BEN POL: KWAKWELI HABARI ZA EBITOKE ZINANIKATA STIMU

Msanii Ben Pol ambaye inasemekana alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na mchekeshaji Ebitoke, sasa hivi anaonekana kumuepuka msanii huyo kwa sababu ambazo hazijajulikana kwa haraka, kitendo kinachoonesha kumuumiza kihisia Ebitoke. 

Ben Pol ambaye alitafutwa kwa kipindi kirefu na mwandishi wetu na kufanikiwa kumpata kwa shida kutokana na ubize aliosema  anao kwa kipindi hiki, alipomueleza kwamba anataka kuzungumzia kuhusu Ebitoke na kwa nini hapokei simu za mchekechaji huyo, Ben Pol alijibu...

RAPA LUPE FIESCO AFIKA NGAZI ZA JUU KTK MAFUNZO YA NGUMI

Image result for lupe fiasco
Hivi unamfahamu Lupe Fiasco? Rapper Mmoja hivi aliwahi kutamba na ngoma yake ya The Show Goes On, Unaambiwa hivi kwa steji aliyofikia Mshikaji Chris Brown anaweza kukalizwa chini.

Kwa muda mrefu jamaa amewahi kuposti vipande vyake vya video akiwa anajifunza kutumia mapanga kama ma Shaolin, Sasa kupitia kurasa yake ya Instagram, Jamaa ameonyesha...

MAD ICE: WANAOSEMA HARMORAPA NI MSANII WANA MATATIZO YA AKILI

Msanii Mad Ice ambaye kwa muda mrefu alikuwa kimya kwenye game ya bongo fleva, ameibuka na issue ya kumpondea Harmorapa, akisema msanii huyo hafai kuwa msanii.

Akizungumza, Mad Ice amesema kwa upande wake anamuona Harmorapa kama msanii wa vichekesho, hivyo mtu akisema anafanya muziki anamuona ana...

DOGO JANJA: NILIKUWA KIBAKA LAKINI BABA ALINIBANA NIENDE MADRASA

Rapa Dogo Janja mwenye hit ya Ngarenaro amefunguka kama asingekuwa mwanamuziki na kupata mafanikio basi angekuwa mwizi au sheikh kutokana na maisha aliyoishi huko awali. 

Dogo Janja amesema kuwa  kama asingefanikiwa kwenye muziki basi kwenye maisha yake angeendelea na kuiba au angebadilika na kuwa Sheikh kwa sababu baba yake alikuwa...

NIKKI WA PILI: NILIKUWA NAUZA SAMBUSA KWENYE VILABU VYA GONGO NA BABA

Msanii Nikki wa Pili amesema maisha ambayo ameyapitia akiwa bado mdogo, ndio sababu inayomfanya azidi kufanya makubwa kwenye maisha yake. 










Nikki wa Pili amesema alipitia changamoto nyingi ikiwemo kuuza sambusa kwenye vilabu vya pombe akiwa na baba yake, akiwa na umri...

Sunday, September 24, 2017

MCHEZAJI WA MAN UTD PAUL POGBA KUTIBIWA NA DAKTARI WA BARCELONA

Nyota wa Manchester United Mfaransa Paul Pogba huenda akafanyiwa upasuaji na daktari kutoka Finland Sakari Orava ambaye amefanikisha upasuaji wa winga wa Barcelona Ousmane Dembele. 

Ripoti kutoka kwa daktari huyo ambaye ni mtaalam wa tiba ya misuli zimeeleza kuwa huenda akafanya mazungumzo na Pogba siku ya Jumatatu kwaajili ya kuanza upasuaji ndani ya...

KWA HILI ROONEY HATO USAHAU MWEZI SEPTEMBER

Ukisema ni mwezi wa tabu kwa Wayne Rooney si vibaya, lakini bado unaweza kuwa mwaka wa tabu maana matukio ni mfululizo.
 
Baada ya kuonekana hafai Man United na kurejea Everton, Rooney alianza kwa kufunga bao lake la kwanza Tanzania na wengi wakategemea mfululizo wa mabao, mwisho sasa...

Download: Eric Bellinger ft Blaq Tuxedo_Frequency


Caption this...

Download

Download: Papoose_Rollin In The Couple


Off my new project coming soon!!! #rollinginthecoupe produced by my bro @edubbdaproducer 🔥link in bio peace to @thakidshadow 💪🏿

Download

Download: Dame D.O.L.L.A. ft Lil Wayne_Run It Up


Download