Pages

Subscribe:

Sunday, September 24, 2017

PEPO LA USALITI LAZIDI KUMTESA DIAMOND AANGUKIA MIKONONI MWA HUDDAH



Diamond Platnumz ni kama centre ya ubuyu Bongo. Mrembo wa Kenya Huddah Monroe ameonekana kuwa upande wa adui yake Zari The Bosslady katika sakata zito la Diamod kuzaa na Hamisa Mobetto.

Baada ya bosi huyo wa WCB kuonekana kuishinda kwa asilimia kubwa vita ya usaliti kwa kuzaa nje, kupitia mtandao wa Snapchat, Huddah ameamua...
kumshushia maneno mazito msanii huyo. 

Haya ndio maneno aliyoandika Huddah kwenye mtandao huo.




0 comments:

Post a Comment