Pages

Subscribe:

Tuesday, April 24, 2018

TAKWIMU ZA SIMON MSUVA LIGI YA MOROCCO ZAZIDI KUWA TISHIO

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayeichezea club ya Difaa El Jadid ya Morocco Simon Msuva amezidi kuchukua headlines katika Ligi hiyo kwa uwezo wake anaoendelea kuuonesha kila mechi anayocheza.

Msuva hadi sasa ndio mchezaji pekee wa kigeni aliye na magoli mengi Ligi Kuu Morocco akiwa na magoli...
9, ila katika TOP 10 ya wachezaji wanaoongoza kwa magoli Ligi Kuu Morocco hakuna raia yoyote wa kigeni zaidi ya Simon Msuva.

Bado game nne Ligi Kuu Morocco msimu wa 2017/2018 iweze kumalizika, ambapo Ligi hiyo inashirikisha timu 16 Simon Msuva hadi sasa amekosa game tatu kutokana na kuitwa Taifa Stars katika ya game 26 Difaa El Jadid ilizocheza na amecheza game 23, mzunguuko wa kwanza amekosa game moja pekee.

0 comments:

Post a Comment