Pages

Subscribe:

Wednesday, April 4, 2018

KAJALA: MUNGU AKIJAALIA SOON NTAPATA MTOTO WA PILI


Msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja amesema hatarajii kabisa kuwa mwanae, Paula ataingia katika tasnia ya burudani nchini. Muigizaji huyo ameiambia Planet Bongo ya EA Radio mwanae ana mpango wa kuwa mwanasheria na si nje ya hapo.

“Hivi vitu industry, sijui radio, muziki, movie hapana , hayupo interest kabisa yeye kila siku anaseama anataka kuwa mwanasheria, kwa hiyo tunasubiria amalize shule tuwe na...
mwanasheria mkali,” amesema.

Alipoulizwa kuhusu kuongeza mtoto wa pili, alijibu; “Mungu akijalia atotokea mwingine tu soon,”.

0 comments:

Post a Comment