Pages

Subscribe:

Friday, April 27, 2018

IDRIS SULTAN NA JERRY MURO WAJIBIZANA MTANDAONI KISA MAANDAMANO

Idris Ajibizana na Jerry Muro Katika Mitandao ya Kijamii
Msanii  wa maigizo ya uchekeshaji nchini idris sultan ameingia katika majibizano na aliyekuwa mwanahabari jerry muro baada ya Idris kupost clip iliyokuwa ikisapoti maandamano ya amani yaliyotakiwa kufanyika April 26 na  wananchi waliokuwa wakiiipinga serikali.

Idris katika clip hiyo aliwataka watu kuandamna kwa amani na sio vita wala kusababisha kukosekana kwa amani ndipo Jerry Murro nae...
alipotoa maoni yake kuhusu mawazo hayo ya Idris.

0 comments:

Post a Comment