Pages

Subscribe:

Wednesday, March 29, 2017

WAZIRI WA SANAA, UTAMADUNI NA MICHEZO KUWAPATANISHA DIAMOND NA ALIKIBA

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harisson Mwakyembe amepokelewa na wafanyakazi wa Wizara yake Mjini Dodoma huku akiahidi kuwaweka pamoja wasanii Diamond na Ally Kiba.

Pia amefurahishwa na matokeo ya Stars ndani ya wiki kutokana na kuzifunga Botswana na Burundi.Pamoja na hayo, ameahidi kuliondoa... neno kichwa cha mwendawazimu katika Soka.

0 comments:

Post a Comment