Pages

Subscribe:

Thursday, March 30, 2017

STORY: SLAVE SEX (MTUMWA WA NGONO) 03

Image result for MTUMWA WA NGONo 01
AGE….(18+)
ILIPOISHIA.
.Mkono wa Nickson ukashuka chini ya kitovu na kuingia chini, aliivuta chupi ya Gloria kwa juu na kuzidi kuupenyeza mkono wake ndani, alivyotaka kuishika ikulu ya Gloria mkono wake ukazuiwa!


SONGA NAYO.

Gloria aliuzuia Mkono wa Nickson ulivyotaka kugusa ikulu yake, lakini bado waliendelea kulana denda.Kwa upande wa Nickson hakuwa na tatizo kabisa na aliiona ni sawa tu kwa Gloria kumzuia, sababu ndiyo siku hiyo ilikuwa...
ya kwanza kukubaliana wawe wapenzi,hakutaka kujali sana kuhusu hilo na hata mpaka wamefikia kitendo cha kupigana mabusu kilitosha kabisa kudhihirisha mambo mengine yangefuata taratibu, kwani aliamini ndege ni wake hakua na haja yoyote ya kushika manati, mbali na hapo aliheshimu hisia za msichana huyo,waliishia kushikana huku na huku na walivyoridhika kila mtu akamuaga mwenzake.
Nickson akabaki akimsindikiza kwa macho Gloria na hata msichana huyo alipofika mbali aligeuka ma kumpungia mkono.

Nickson hakuamini kama amemmpata msichana mzuri kama Gloria na aliondoka akiwa mwenye furaha moyoni mwake.Tangu siku hiyo mapenzi yakawa motomoto, waliongozana kama kumbikumbi wakiwa pamoja na kila jioni walikutana chini ya mti mkubwa wakishikana shikana.


“Gloria nakupenda sana,nakupenda kutoka ndani ya moyo wangu, sijui niseme nini,kungekuwa kuna neno jingine zaidi ya hili ningesema lakini hakuna,nakupenda sana”
Alisema Nickson akiwa katika hali ya hisia kali akionesha msisitizo huku mikono yake ikiwa juu ya mashavu ya Gloria anamtizama msichana huyu jinsi alivyokuwa mzuri mno.


“Hata Mimi Nickson,lakini usinione mshamba”
“Kwanini unasema ivyo?”
“Mimi bado bikira”
“Gloria?”
“Abee”
“Unasema ukweli?”
“Nakwambia ukweli,sijawahi kuguswa na mwanamme yoyote Yule,nilitaka mume wangu ndiye awe mwanamme wa kwanza kunifungua”
“Basi ndiyo mimi hapa”
“Bado hujawa mme wangu lakini”
“Sawa,sikatai lakini ndiyo nitakuwa hivi karibuni”
“Nakupenda Nickson”
“Hata mimi Gloria,wewe ndiye mwanamke wa maisha yangu,Mungu amenipa wewe na sitokugusa mpaka nitakapokua kama unavyotaka iwe”
“Ahsante Nick”


Kila mtu alimtamkia maneno matamu mwenzake usiku huo wakiwa chini ya mti ambao wanakutana kila siku,walisogeza midomo yao karibu na kuikutanisha kama wafanyavyo siku zote, basi ndivyo ilivyokuwa walinyonyana midomo yao kama njiwa huku wakichezeana huku na huku.Kiungo cha Nickson kilisimama na kufanya suruali yake itune mbele na ndiyo ivyo ilivyokuwa kwa Gloria, hisia zilimpanda ajabu na kutamani kufanya jambo baya la kuzini! Shingo ya Gloria ilinyonywa na Nickson akazidi kuupandisha ulimi wake na kuupitisha masikioni mwake, hapo ndipo msichana huyu alipagawa zaidi alitamani avue nguo lakini alijikaza kisabuni,kutokana na hali hiyo ilibidi Nickson achukue mkono wa Gloria na kuuweka juu ya mashine yake huku akifanya kama anajichua.


Gloria aliogopa na kuutoa mkono wake.
“N…ini Gloria?”
Nickson aliuliza taratibu huku macho yake yakiwa mekundu yamelegea.
“Mimi naogopa kukugusa huko”
“Jaribu leo,mimi siwezi kulala hivi usiku,nitateseka sana”
“Mhhh”
“Tafadhali”


Gloria akakubali akaingiza mkono ndani ya boxa ya Nickson na kumtoa nyoka wake aliyekuwa ametuna kisha akasaidiana na Nickson, wakaanza kumchukua nyoka huku wakiendelea kupigana madenda kwa fujo.kadri sekunde zilivyozidi kwenda mbele ndipo Nickson alipozidi kusikia raha zaidi,na kumvuta Gloria upande wake,hazikupita hata sekunde kumi Nickoson akamganda Gloria akawa amemkumbatia kwa nguvu,teyari alikuwa ametupa risasi na kushusha pumzi ndefu.
“Pole”
Gloria alisema huku wakitizamana.
****
Halikuwa jambo la utani kwa Nickson kuhusu kumuoa Gloria, baada ya wiki moja baadaye akawa ameweka mambo wazi kwa wazazi wake juu ya Msichana aliyempata,Mzee Shayo akainua mikono juu na kushangilia kutokana na mwanaye kuoa mtoto wa rafiki yake,hata walivyopeleka taarifa hizo kwa Mzee Urio ndiyo akaonesha furaha zaidi.Mambo yalipelekwa harakaharaka sana na vikao kuanza kufanyika maramoja! wazee wa kichaga waliitana mashambani na kuchinja mbuzi ili kujadili swala hilo zito.


Baada ya wiki mbili kutimia Mzee Shayo wakishirikiana na wazee wenzake wakawa wametengeneza pombe ya asili iliyoitwa mbege,ikanyweka kama mila zao.Nickson hakutaka kubanduka mkoani Kilimanjaro bila Gloria na ndivyo ilivyokuwa,walipanga harusi yao ifanyike jijini Dar es salaam.Hakukua na kipingamizi, safari ya kuelekea mkoani Dar es salaam ikaanza.

Na Nickson alivyofika tu kitu cha kwanza alichofanya ni kumpeleka Gloria saluni ili wakaufanyie ‘service’ mwili wake na alivyotoka saluni kila mtu alimkodolea macho.Gloria alibadilika ghafla, kichwa chake kilikarabatiwa na nywele zake zikawekwa sawa,ungemtizama na kupewa picha yake jinsi alivyokuwa kwenye mashamba ya kahawa ungekataa katakata.

Hata Nickson alipomuoma alionesha mshtuko wa waziwazi na kuweka mdomo wake kinywani!

“Ndiyo wewe Gloria?sijawahi kuona msichana mzuri kama wewe lazima niwaite leoleo wakina Faris na Jongo niwaoneshe kuwa Moshi kuna vifaa,si walikuwa wananicheka eti naenda kuoa kijijini,ngoja sasa”
Maneno hayo yalimtoka Nickson huku akizidi kumuangalia Gloria juu mpaka chini asiye amini mtu anayemuona mbele yake.


Walivyotoka sinza walichukua Taxi iliyowapeleka mpaka Buguruni Malapa na ndiyo hapo Nickson alikuwa amepanga .Alivyofika tu akatoka nje mbio mbio.
“Oyaaaa Jongo, wewe Jongo hunisikiii au?,njoo njoo njoooo,Faris yuko wapi?”
“Yuko kule juu,vipi kwani?”
“Enhee Yule pale,Faaaaris”
Namna aliyotumia kuwaita wenzake kuliwatisha na wote wakasogea karibu kumsikiliza rafiki yao.


“Mwenzenu nataka kuoa,kama nilivyowaambia kuwa nilienda Moshi sio kuhesabiwa peke yake,nimekuja na kifaa na ninaoa mwezi ujao”
“Kumbe ndiyo ulichotuitia hiko?”
“Twendeni mkaone, sio mnasema hivyo, kifaa hamjakiona ndiyo maana,lakini msipige kelele,twendeni mkamuone shemeji yenu”
Wote wakatembea Jongo na Faaris walikuwa wana hamu ya kumuona msichana aliyekuwa akisifiwa na Nickson,wote wakafika ndani.Ni kweli msichana waliyemuona nyumbani kwa rafiki yao alikuwa ana uzuri usio wa kawaida, waliyatumbua macho yao na hawakutaka kuuliza kitu kingine zaidi,Gloria alikuwa kivutio kwao.
****
Kutokana na mambo kupelekwa haraka na wazee wa kichaga, kadi za harusi zikawa zimesambazwa,hatimaye siku ya ndoa ikawa imekaribia lakini mpaka siku hiyo Nickson na Gloria hawakuwahi kushiriki tendo la ndoa.Na Nickson alitamani siku hiyo ifike na ndiyo maana alikuwa ana mcheche wa siku ya harusi yake iwadie!alipiga siku hiyo baada ya ndoa watakuwa kitandani na Gloria.


Siku hazigandi,hatimaye siku ya harusi ikafika, Nickson Shayo akawa amemuoa Gloria,wazee wakafurahi na kunywa.Ikawa kama utani kumbe ndiyo kweli,na siku hiyo akapewa nyumba ya kuishi na gari la kutembelea kama zawadi na ofisi.Ulipofika usiku wa saa sita,gari la maharusi likawachukua mpaka Rombo Hotel ili kupumzika.

Hapo Nickson hakufikiria kitu kingine zaidi ya kufanya tendo alilokuwa akilisubiria siku nyingi zilizopita nyuma,kitendo cha kufunga mlango alimvuta Gloria karibu na kuanza kunyonyana midomo yao wakilana denda, wakatupana kitandani.Nickson alilivua shela la Gloria nayeye akavuliwa Suti, wakabaki kama walivyozaliwa.

Nickson alipagawa zaidi,hakuamini kama ndiyo anaenda kula tunda lake aliliolisubiri kwa kipindi kirefu,hakua na papala alienda kimjini, alielewa jinsi ya kumuandaa mtoto wa kike na ndicho alichokifanya na kila alipojaribu kuweka mkono ndani ya mgodi wa Gloria alishikwa mkono,
hakutaka kuwa na haraka sababu alielewa mke wake ni bikira na alijisikia ni mwanamme lijali kumtoa bikira msichana mzuri kama Gloria!


Aliyanyonya maziwa ya Gloria mpaka alivyolainika kabisa na kuanza kuyafumba macho yake.Hapo ndipo alipomchukua nyoka wake na taratibu kumuingiza shimoni kwa tahadhari sababu alielewa nini maana ya bikira.Lakini moyo wake ulimdunda baada ya nyoka wake kupita ndani bila tatizo,alimtoa na kumuingiza tena lakini hali ilikuwa vilevile.Akili yake ilichanganyikiwa na kugundua teyari ameuziwa mbuzi kwenye gunia!

ITAENDELEA.

0 comments:

Post a Comment