Pages

Subscribe:

Friday, March 31, 2017

STORY: SLAVE SEX (MTUMWA WA NGONO) 04

Image result for MTUMWA WA NGONo 01
AGE…..(18+)

ILIPOISHIA
.Lakini moyo wake ulimdunda baada ya nyoka wake kupita ndani bila tatizo,alimtoa na kumuingiza tena lakini hali ilikuwa vilevile.Akili yake ilichanganyikiwa na kugundua teyari ameuziwa mbuzi kwenye gunia! 


SONGA NAYO.

Hali ya kutokuwa kwa ubikira wa Gloria ilimshtua sana Nickson, lakini hakutaka kuuliza kwanza, jambo alilofanya ni kumaliza alochokianza kwanza!Alimpindua Gloria na...
kumlaza vizuri chali ili amalize hamu yake,damu yake ilimuenda mbio na mapigo yake ya moyo kuzidi kumdunda.Gloria alikuwa ni msichana mzuri na bado aliamini kuwa yupo ndotoni na muda mfupi ataenda kushtuka.

“Assshhh Nickiiii tar…atibu”
Gloria aliigiza kwa kutoa sauti hiyo puani.Nickson alimgeuza huku na kule na safari hii akauweka mguu wa mke wake begani kwake huku akizidi kuendeleza mashambulizi.


Gloria alizidi kupiga kelele za raha na hapo ndipo alipomfanya Nickson azidishe kasi,alipeleka ulimi wake kifuani na kuanza kunyonya maembe huku akizidisha mashambulizi,sekunde tano baadaye alikuwa amelala kifuani kwa mkewe akiwa anahema juu juu,ametulia haongei chochote,Gloria alijifunza kitu kutokana na ukimnya wa mme wake.

“Mme wangu”
“Naam”
“Ume enjoy?”
“Ndio”
“Mbona kama huna raha?”
“Hapana kawaida tu”
“Kweli?”
Gloria aliuliza tena.
“Ndio”
“Naomba unisamehee Nickson,najua kuna kitu umegundua ambacho kinakufanya unifikirie vibaya”
“Kitu gani?”
“Hujanikuta kama ulivyotaka niwe,ki ukweli mimi sikua bikra na ninaomba unisamehe kwa hilo,nisamehe saba mara sabini”
“Sasa kwanini hukutaka kuniambia ukweli? ulidhani sitokuoa?”
“Nilitaka nije kukwambia ukweli siku moja lakini sikupata nafasi hiyo,lakini ki ukweli hii isikufanye upunguze mapendo kwangu,Nickson nakupenda kutoka ndani ya moyo wangu ndiyo maana nikakubali kuolewa nawewe”
“Hata mimi nakupenda Mke wangu kuhusu hilo swala usijali,mimi nakupenda kweli,na mpaka nimekuoa nilikuwa nipo tayari kukabiliana na kitu chochote kile”
“Kweli Mme wangu?”
“Niamini mimi,nakupenda Gloria,nakupenda sana,nataka uishi kama malkia,nachokuomba uwe mwaminifu”
“Kwa hilo ondoa shaka”


Nickson aliinua kichwa chake na kupeleka lips zake mdomoni kwa Gloria kisha kuanza kulana denda,hakuna kilichofuata hapo zaidi ya kuanza kushikana huku na huku na kubebana mpaka bafuni, huko kilichoendelea ni kutomasana,bomba likafunguliwa la mvua kila mtu akawa anamsugua mwenzake huku wakiwa kama walivyozaliwa.


Kila Nickson alipomuangalia mke wake kiungo chake cha mwili kilimsimama.Gloria alikuwa ni msichana mweupe na mwenye mwili wa kutamanisha, maziwa yake yaliyosimama wima ndiyo yalizidi kumpandisha Nickson midadi aliyekuwa mbele yake anapitisha mikono katikati ya matiti yake huku akiyasugua,alipeleka kinywa chake na kuanza kuyanyonya kama mtu anayevyonza embe dogo,taratibu huku mkono wake ukipita chini ya ikulu, kazi ya Gloria ilikuwa ni kumkwaruza Nickson mgongoni huku mara kadhaa akipiga kelele za raha na kutetemeka, raha alizokuwa akizisikia hakuweza kuwahi kuzipata kabla katika maisha yake.

walinyonyana midomo na kurudi chumbani huku wakiwa wamelowana ivyoivyo puuh kitandani, kisha kuzidi kuendeleza mashambulizi.
Hakika fungate lao walilitumia vizuri.Na baada ya siku tano,ilibidi warudi katika nyumba yao mpya waliyopewa na ofisi kama zawadi,
ilikuwa ni furaha sana,kazi aliyoifanya Nickson siku iliyofuata ni kukodi gari kubwa mpaka Buguruni Rozana, alipokuwa amepanga kipindi anaanza maisha ili kuchukua baadhi ya vitu vyake,alivyofika hakusahau kuwatafuta marafiki zake kipenzi, bwana Jongo na Faaris.Wote walisahabiana wakiwa wenye furaha.


“Naona kampani yetu ya ubachela inaanza kupungua sasa!”
Alisema Faris akikitizama kidole cha Nickson kilichokuwa na pete ya ndoa.
“Sio kweli,lazima tuwe tuna kutana mara moja moja tupige mbili tatu sana tu!”
“Wewe unasema,wife akigoma hutosema kitu chochote,tena kile kisu cha kichaga, akikohoa tu upo ndani,mimi si nakwambia”
Bwana Jongo nayeye hakukosa neno!
“Mwambie huyo Jongo,lakini poa sisi tuna kutakia kila raheli,tutatembeleana kama kawaida Mangi”
Faaris nayeye akapigilia msumari. 


“Mimi sitowasahau washkaji zangu,lazima nije Buguruni hapa,maana ndiyo maskani”
Waliendelea kupiga stori wakiwa wenye furaha na gari lilipomaliza kupakia mizigo, Nickson alimtafuta mzee mwenye nyumba na kumkabidhi funguo zake kisha kuingia ndani ya Canter huku akiwapungia marafiki zake mikono ya kuwaaga.
Katika maisha yake, Nickson alijua teyari amekamilisha hatua ya kwanza nayo ni ya kuoa na alichokuwa akikiwaza kwa wakati huo baada ya mwaka mmoja, awe tayari keshaitwa Baba,alikuwa ni mwenye hamu sana ya kuyavaa majukumu ya kuwa na familia.


“Broo ulisema Segerea majumba sita?”
Aliuliza Dereva wa gari wakiwa wamefika Tabata liwiti.
“Ndio!kuna sehemu inaitwa migombani”
“Sawa,napafahamu”
“Okay”


Gari lilizidi kwenda na walipofika kwenye nyumba yanye geti la rangi jekundu, gari likawekwa sehemu nzuri.Nickson akawaita vijana waje kumsaidia nao wakafika.

Siku nzima wakasaidiana na Gloria kupanga nyumba na ilivyofika jioni ya saa kumi na mbili kila mtu alikuwa hoi bin taaban!kutokana na uwingi wa vitu kupangwa.
“Mme wangu utakula nini usiku?”
“Hapana usipike,si umechoka sana”
“Nani amekwambia?”
“Pumzika,leo tunanunua chakula nje”
“Sitaki ule chakula cha nje Darling wakati mimi nipo,sasa nini uwepo wa mimi hapa ndani?”
“Basi sawa pika chochote tu,wale samaki wa jana si bado wapo?”
“Ndio”
“Basi pika hao na wali”
“Aya baba,alafu maji tayari yapo bafuni ukaoge”
“Nitakusubiri,ukimaliza tukaoge wote”
“Mhhh,sawa”
Kila mtu alimpenda mwenzake kwa dhati na chakula kilivyotengwa mezani,kwa pamoja wakanyoosha mpaka chumbani ili kwenda kuoga,nyumba waliyopewa ilikuwa nzuri na kubwa tena ya kisasa.Wote waliipenda, bafuni kulikuwa pa kisasa kulikuwa kuna yakuza iliyojaa mapovu wote wakavua nguo zao kisha wakaingia ndani ya sink lililokuwa na maji ya uvugu uvugu ndani yake.


Kilichoendelea hapo ni kila mtu kuanza kumchokoza mwenzake,walipigana madenda mfululizo na kilichofuata ni tendo la ndoa,kila mtu alikuwa ana hamu na mwenzake.Baada ya kutoka ndani ya sink walitembea mpaka chumbani na kuvaa nguo.

“Baby vaa hii night dress,tuko wenyewe ndani”
“Naona aibu”
“Hapana vaa tu,si tutakuja kulala sasa hivi”
“Sawa”
Wote wakanyoosha seblen kula chakula cha usiku kisha kurudi kulala.
****
“Griiii griiiii,Griiii griiiiiiii”
Ni Simu ndiyo ilikuwa ikiita katika ‘vibration’ juu ya meza kubwa na wa kwanza kuisikia alikuwa ni Gloria asubuhi hiyo ya saa moja, alimtingisha Mme wake Nickson aliyekuwa mbali katika usingizi mzito.
“Mhhhhhhh”
Nickson aliitikia katika hali ya uchovu huku akipiga miayo!
“Simu yako Darling,inaita”
“Naomba”
Nickson alishtuka na kukaa sawa kitandani baada ya kuona jina juu ya kioo cha simu yake Boss Magugu.Alikaa kwa adabu na kukohoa kidogo ili kuondoa sauti ya usingizi.
“Halloo bosi”
“Za kwako Nickson?”
“Salama tu bosi,sijui huko kwako”
“Huku njema,upo ofisini?”
“Hapana,nitaingia kesho bosi”
“Sawa,sasa nilikuwa nakuomba kitu kimoja,nipo Arusha hapa KIA, baada ya dakika arobaini na tano uwepo mwalimu Nyerere tafadhali,wewe ndiye mtu wa karibu nimekupigia ambaye utaweza kufika kwa haraka”
“Sawa bosi,utanikuta hapo,hilo ondoa shaka”
“Okay”
Simu ilikatwa ikimuacha Nickson akimruka Mke wake kitandani na kunyoosha mpaka bafuni,sekunde moja baadaye alikitoa kichwa chake nje kikiwa na mapovu.
“Njoo uoge,leo twende ukamuone bosi wangu,siwezi kukuacha mwenyewe Gloria”
“Sawa,nakuja”
Wote wakaingia kunawa pamoja na kuoga, walivaa na kutoka nje mpaka kwenye gari aina ya Rav 4.


Na safari ya kuelekea uwanja wa ndege kipawa mwalimu Nyerere kuanza,kwa mwendo wa kawaida alioutumia Nickson, ndani ya dakika ishirini na tano wakakunja kona kushoto kuingia uwanja wa ndege.

Nickson akazungusha gari mpaka sehemu aliyoona inafaa kupaki gari, kisha kuliegesha vizuri na kuteremka akiwa na Gloria wake pembeni,wakatembea mpaka sehemu ya watu wanaopokea wageni wao,kisha kujumuika nao wakimsubiri mgeni wao.

Haikupita hata dakika kumi,sura ya Mzee mwenye rangi ya maji ya kunde aliyevaa suti nyeusi ilitokeza .Na Nickson akapunga mkono wake hewani baada ya kugundua kuwa ni bosi wake Mr.Omari Magugu.
“Pole na safari Bosi”
“Ahsante vipi za fungate?”
“Salama bosi”
Kitendo cha Magugu kumtizama Gloria moyo wake ukamdunda na kumwenda mbio,ilikuwa ni tofauti na alivyomuona kwenye harusi,Gloria alizidi kuwa mzuri siku hiyo na walivyopeana mikono ya salamu akamtekenya kwenye kiganja chake,na kumkonyeza bila ya Nickson kujua lolote.


ITAENDELEA.

0 comments:

Post a Comment