Rapa M-Rap anayetikisa kwenye uga wa Bongo Fleva na ngoma yake mpya aliyoibatiza jina la 'It is not too late' amefunguka sababu za kubadili mtindo wake wa kuchana katika ngoma hiyo, na kusema kuwa amebadilika ili kufuata soko la muziki huo kwa sasa.
M-Rap ambaye amezoeleka kama rapa zaidi kwa kutengeneza ngoma za kuchana zaidi akifananishwa na ma'rapa' wengine wanaoendana kiumri kama vile Young D na Young Killer, katika ngoma hii mpya ameamua...










Follow on Instagram