Pages

Subscribe:

Thursday, May 25, 2017

KAULI YA WEMA SEPETU BAADA YA TAARIFA ZA KIFO CHA MZAZI MWENZA WA ZARI

Kifo cha mfanyabiashara maarufu na aliyekuwa mume wa Zari The Boss lady, Ivan Semwanga ni moja kati ya habari zinazozungumzwa sana kwenye mitandao ya kijamii kwa kugusa hisia za wengi.

Baada ya Zari kuthibtisha kifo cha aliyekuwa mume wake, watu mbalimbali wamekuwa wakituma salamu zao za pole kwa familia wakionesha kusikitika kwa kuguswa na msiba huu ambapo miongoni mwa watu hao ni Miss TZ 2006 Wema Sepetu.

Wema aliandika kwenye account yake ya Instagram: “Broken...
hearted…… Rest In Peace Ivan… … SHOCKING NEWS kwakweli… My Condolences to The whole Family… Mungu awatie nguvu wale watoto jamani… They are too young… And Mungu amtie nguvu Mama watoto wako… It will be a very hard period of time for all of you But it shall pass…” – Wema Sepetu.

0 comments:

Post a Comment