Pages

Subscribe:

Wednesday, May 31, 2017

ROSE NDAUKA AAMINI HAYA BAADA YA JOKATE KUTAJWA KWENYE JARIDA LA FORBES



Baada ya majina ya Watanzania kutokelezea katika jarida la Forbes la wajasiriamali wenye umri chini ya miaka 30, ambao ni Jokate Mwegelo na Lavie Makeup limemfanya muigizaji Rose Ndauka kuamini kwamba hakuna kitu kinachoshindakana kwenye hii Dunia.

Kupitia kurasa yake ya Twitter, Rose Ndauka aliamua kuandika jumbe yake kwa kusema kwamba “Kitu ulichokifanya,unatuhakikishia hakuna...
kitu kinashindaka kwenye hii dunia! Its just a matter to decide and go for it”.

0 comments:

Post a Comment