Pages

Subscribe:

Thursday, August 27, 2015

NUHU AENDELEA KUMKANA WEMA SEPETU AFUNGUKA MENGINE HAYA

Msanii wa Bongo Fleva,Nuh Mziwanda amemkana tena staa wa Bongo Movie,Wema Sepetu kuwa hajawahi kumtongoza na sauti iliyorekodiwa kwenye simu akimtongoza mwigizaji huyo siyo yake. Akizungumza kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM,alipokuwa akiachia ngoma yake mpya iitwayo ‘Hadithi’ alisema kuwa Wema hakuwa na... nia nzuri na penzi lake na Shilole na alitaka kuwagombanisha na mpenzi wake huyo. Sijawahi kumtongoza Wema na hakuwa na nia nzuri na penzi langu na Shilole alitaka kutugombanisha na nasisitiza ile sauti haikuwa yangu,’’alisema Nuh Mziwanda.

0 comments:

Post a Comment