Pages

Subscribe:

Friday, May 29, 2015

MTOTO WA AUNT EZEKIEL APEWA JINA HILI

Mwigizaji wa filamu za Bongo, Aunty Ezekiel alijifungua mtoto wa kike siku ya Alhamis May 21. Mtoto huyo wa Aunty Ezekiel ambaye baba yake ni dansa wa Diamond aitwaye Mose Iyobo, amepewa jina la Cookie.

0 comments:

Post a Comment