Pages

Subscribe:

Saturday, September 24, 2016

SAIDA KAROLI KUNUFAISHWA NA DIAMOND

Saida Karoli atanufaika na ‘Salome’ wimbo mpya wa Diamond ambao una vionjo kutoka kwenye wimbo wake wa ‘Chambua kama karanga’ Diamond amesema kuwa mwanamuziki huyo mwongwe wa nyimbo za asili ana asilimia 25 kwenye pesa ambazo wimbo huo utakuwa unaingiza.
 
“Kitu tulichokifanya kabla ya kurealise wimbo, tulizungumza na uwongozi wake tukawaambia tunafanya ichi,ichi na ichi, kuna kiasi pia tukakitoaili kiende kwake afu tukampa  25 percent ya publishing kila...
income ya publishing ikiwa inaingia katika huu wimbo, mama atakuwa anapata percent” Diamond ameiambia Perfect 255.

Saida Karoli alipata mafanikio makubwa kupitia wimbo huo ikiwa ni pamoja na kutumika kwenye filamu ya muandaji maarufu wa Hollywood, Tyler Perry.

0 comments:

Post a Comment