Pages

Subscribe:

Saturday, February 28, 2015

AZAM FC WAPOKELEWA KIDIGITALI HUKO SUDAN

Hili ndilo basi ambalo El Merreikh wamewapatia Azam FC baada ya kuwasili Khartoum. WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Azam FC wamepata mapokezi ya ‘kigaidi’ mjini Khartoum, Sudan baada ya kuwasili usiku wa kuamkia leo kwa ajili ya mchezo na wenyeji, El Merreikh.

0 comments:

Post a Comment