Pages

Subscribe:

Saturday, February 28, 2015

T.I.D AIPONDA NGOMA MPYA YA ALI KIBA CHEKECHA CHEKECHUA

Haya ndiyo maoni ya mwanamuziki TID kuhusu wimbo mpya ya Ali Kiba ya chekecha chekechua kuwa hii nyimbo haina ubora wowote na hadhani kama itadumu hata miezi 3 sokoni. *Ameandika Hivi Kwenye Ukurasa wake wa Instagram:* This song is not all That..But u guys are making it a big shi**t, its gonna last 3 months #nose Singing What is your take on this ?

0 comments:

Post a Comment