Pages

Subscribe:

Thursday, April 14, 2016

DJ ROMMY JONES AKUMBWA NA KASHFA YA UBAKAJI SWEDEN

Inasmekana alimbaka mdada wakibongo aishie sweden anaitwa Deborah
Shutuma hizo zimewekwa Instagram katika page mbali mbali zinasema Rommy alikuwa na dada huyu nyumbani kwake na kumuwekea kilevi kwenye kinywaji chake akasinzia na jamaa kufanya yake.


Wadaku wanadai Rommy Jones hakumaliza ziara ya chibu chibude huko ulaya kwani alikimbia soo na chat sms zimewekwa hadharani akiomba msamaha
wambeya wanadai meneja wa diamond aitwaye salaam alikuwa radhi kutoa...

euro 10,000 ili kuua soo ila bidada akakataa.

0 comments:

Post a Comment