Pages

Subscribe:

Tuesday, April 26, 2016

PAUL WA P-SQUARE ANASWA SOUTRH AFRICA AKIWA AMEVAA KOFIA YA WCB

Ukimuona Paul Okoye wa kundi la P-Square akiwa amevaa kofia ya WCB na yupo Johannesburg, Afrika Kusini ambako Diamond yupo huko tangu mwanzoni mwa wiki hii kuzindua video ya Colors of Africa, ujue mambo yameiva. Paul amepost picha Instagram akiwa amevaa kofia nyeupe ya WCB, label ya Diamond na... kuashiria kuwa huenda wiki hii wakali hao wakashoot video ya collabo yao. Diamond aliingia studio na P-Square mwaka jana. Kituo cha runinga cha MTV Base kiliripoti wiki hii kuwa Diamond atashoot video ya wimbo huo hivi karibuni.

0 comments:

Post a Comment