Pages

Subscribe:

Wednesday, May 25, 2016

VIDEO: BIFU LA WEMA SEPETU NA HARMONIZE LACHAFUA HALI YA HEWA

Kuna bifu kubwa sana limeibuka kati ya msanii wa Wasafi Harmonize na team Wema baada ya Harmonize kutoa freestyle yenye maneno ya kumkashifu Wema Sepetu.

Kijana Harmonize mpaka sasa anaoga matusi yote ya dunia hii kutoka kwa team Wema. kwenye clip hiyo Harmonize aliskika akisema: Naskiaga wanasema uzuri wa nyumba usikufanye utembee peku, "sista duu usitoe mimba ukaja kulia kama Sepetu " - Harmonize 

Watch Here 

0 comments:

Post a Comment