
SONGEA MPO TAYARIIII??? Hit maker wa ngoma ya tausi atua mjini songeatayari kwa show ya kampeni ya kuzuia Maralia na haya ndiyo machache aliyo zungumza kupitia ukurasa wake wa Facebook: Wakazi wa wasongea kesho tukutane kwenye uwanja wa nangwanda pale...
kwenye kampeni ya maralia ntakuwa pale kwa jukwaa



Follow on Instagram
0 comments:
Post a Comment