Pages

Subscribe:

Saturday, February 13, 2016

Lyrics: Ben Pol & Jux_Nakuchana

Verse 1
Ben Pol
Oya, oya, oya hey
Mi nataka unisikilize
Oya, oya, oya hey
Nimekuja tuzungumze

Jux
Sema, sema, sema Ben Pol
Huwa napenda nyimbo zako
Ila tatizo, mavazi yako
Unasahau kwamba we ni msanii...
Ben Pol
Ninavyovaa na kuimba, wapi na wapi?
Midosho China, kwani sh ngapi?
We una sifa, mi nnaimba
Nenda uliza shabiki wakwapi

Jux Unachelewa kaka, punguza ushamba sasa
Mziki biashara, natengeneza hela
Hauna mashabiki tena

Chorus – Ben Pol & Jux
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (leo)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana
(Nakuchana leo hii, nakuchana leo hii)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)

Verse 2  
Jux
By the way natafuta msanii wa kumsaidia
Niambie video ya mwisho nani kakulipia
 Ben Pol
Nafanya shows kila mwaka
Wapi we unapata pesa
Story zako nshazipata
Unalelewa na Vanessa

Jux
Mi mfanyabiashara, toka long time
Wala sio mwenzako
Mashabiki nimekupora, hata last time
Mechukua tuzo yako

Ben Pol
Ngoma ya kitoto haikeshi
Subiri next time, naandaa dozi yako
Hata hizo gari na pesa
Mbwembwe za bling bling
Mshukuru sana ex wako, Jacky

Chorus – Ben Pol & Jux
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (leo)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana
(Nakuchana leo hii, nakuchana leo hii)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (leo)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana
(Nakuchana leo hii, nakuchana leo hii)
Nakuchana
Nakucha-nakucha-nakuchana (nakuchana)

0 comments:

Post a Comment