Pages

Subscribe:

Friday, October 16, 2015

MADAWA YA KULEVYA YAFANYA YOUNG D KUPIGWA CHINI NA UONGOZI WAKE

Uongozi wa Kampuni ya Million Dolla Boyz unaomiliki studio za ‘Aunthentic records’ na uliokua unasimamia kazi za Young dee umempiga chini msanii huyo kwa madai ya kutokua na shukrani na tabia mbaya.
Akiongea na kipindi cha XXL cha Clouds FM, CEO wa Kampuni hiyo, Millian amesema amesikitishwa kusikia kuwa Young dee anasema wamemkataza kufanya kazi na...
Mtu chee.
“Naskia oh anasema oh  management yangu imeniambia nisifanye kazi na mtu chee, we dont.. hatu’run maisha ya dee kabisa, we dont manage him.. i can not be with him, i can not manage him, na maisha yake na takataka yake nimemwambia mimi fanya mambo yako utajua mwenyewe, i have tried my best me nimemlea dee i have done soo much”
Millian amedai pia sababu nyingine ya kumpiga chini ni kuhusiana na kujihusisha na madawa ya kulevya . Hata hivyo Young dee amekataa kuzungumzia suala hilo.

Source: Teamz

0 comments:

Post a Comment