Pages

Subscribe:

Friday, October 2, 2015

HUYU NDIYE MSANII TOKA NIGERIA ATAKAYE TUMBUIZA KWENYE FAINALI ZA BBS

Msanii kutoka Nigeria, Runtown ni mmoja kati ya wasanii watakaotumbuiza siku za fainali za shindalo la kusaka vipaji ‘Bongo Star Search 2015′ Mkurugenzi wa Benchmark production na pia  Judge wa shindano hilo, Ritha Paulsen ametoa taarifa hiyo wakati akijibu maswali ya mashabiki wa kipindi icho, Wasanii wengine watakaotumbuiza ni...

ritha
pamoja na Yamoto Band, Christian Bella, Navy Kenzo, Peter Msechu na Kala Jeremiah.

0 comments:

Post a Comment