Pages

Subscribe:

Saturday, October 24, 2015

BARNABA & MR. BLUE WATUNISHIANA MISULI

barnaba $ mr Blue
Baada ya tukio maalumu lililokuwa limewakusanya wadau mbalimbali wa muziki maeneo ya Leaders Club siku ya jumamosi ya tarehe 17,October 2015,Usiku ambapo kulikuwa na show kali ya Msanii wa muziki ambaye anafanya poa East Africa akiwa anatokea nchini Uganda maarufu kwa jina la Jose Chameleone.

Kulikuwa na tukio lingine la kuburudisha kutoka kwa wasanii wa hapa bongo huko Back stage, wasanii hao ambao walionekana kuinogesha back stage ni Barnaba pamoja Mr.Blue. Kilicho fanyika na wasanii hao huko back stage ni...
kutunishiana misuli, na kuvimbia kitu ambacho kilizua, vicheko kutokan kwa wasanii wengine ambao walikuwa eneo hilo la tukio. Usikose kutembelea tovutiyetu kila wakati coz tunazo dondoo nyingi za kukujuza.

0 comments:

Post a Comment