Damian Soul amesema wimbo wake ‘Kaumba’ aliomshirikisha Vanessa Mdee ulimtoa jasho haswaa – kama sio kamasi kabisa. Amedai kuwa wimbo huo ulizaliwa alipokuwa nchini Kenya mwaka jana kwenye kipindi cha Maisha Superstars. Anasema alitaka kufanya wimbo na Nameless aliyemwambia kuwa...



































Follow on Instagram