Pages

Subscribe:

Friday, June 24, 2016

STEVE RNB ADAI HANA BAHATI BAADA YA NDOA YAKE KUVUNJIKA

Steve Rn'B akiwa na aliyekuwa mke wake.Pia Steve amesema alifanikiwa kupata mtoto mmoja katika ndoa yake na kusema ndoa ni kati ya watu wawili hivyo makubaliano ya kuachana yalikuja baina yao na pia itakapofikia wakati wa kurudiana wataamua wao.

Steve amesema anatarajia kuachia ngoma yake mpya ambayo amemshirikisha Bill Nass na kusema ndani ya ngoma hiyo watu watarajie kupata...
ladha na ubunifu kama ilivyo kawaida yake akidai kuwa huwa hakosei anapoamua kuachia ngoma.

0 comments:

Post a Comment