Pages

Subscribe:

Monday, June 27, 2016

DIAMOND AJIPANGA UPYA BAADA YA KUKOSA TUZO MTV HII NDIYO KAULI YAKE

Kwenye mashindano lazima patakuwa na mshindi wa pili na watatu na kukubali kuanguka ni kawaida, ila kuamka baada ya kuanduka ndio kazi yenyewe ambayo kwa sasa Diamond anafanya kwa kutoa kazi ambayo yeye anaimani ni bora zaidi baada ya kupoteza tuzo ya BET kwa msanii Black Coffee wa Afrika Kusini. 

Haya maneno ya Diamond kuhusu wimbo wake mpya aliyoandika Twitter: "Haya Ongeeni Vizuri na waganga wenu Baada ya siku...
nne simba Anaachia ile Mashine"

0 comments:

Post a Comment