Pages

Subscribe:

Thursday, June 30, 2016

BLACK RHYNO ASHEREHEKEA MIAKA MINNE YA NDOA

13561748_567733520068067_1937865653_n
Rapper Black Rhyno ni mfano halisi kuwa ndoa za mastaa kumbe zinawaweza kudumu kama za raia wa kawaida. Leo rapper huyo na mke wake, Beatrice wanasherehekea miaka minne ya ndoa yao na wanaendelea kuonesha kuwa thabiti. Miaka minne iliyopita, June 30 walifunga ndoa yao.

Wawili hao walifahamiana chuoni na kuwa na uhusiano kwa miaka mingine kibao kabla ya kufunga ndoa, Black Chatta ameshare picha kadhaa za ndoa yao kwenye...
Instagram kuadhimisha siku hiyo.


“SHE SAID #YES TO THE RING. Happy 4th Anniversary to us, Miaka 4 iliyopita still feels like yesterday #GodoverEverything,”
ameandika kwenye picha moja.

Kwenye picha nyingine ameandika: The party was Lit and then while walkin around greeting our beloved guests I met big bro @professorjaytz your fun chats broke my libs bro #happy4thAnniversaryTous
#ItsGodoverEverything
#30thJune2012
#Adaytoremember.”

0 comments:

Post a Comment