Pages

Subscribe:

Thursday, January 22, 2015

KING CRAZY GK: WASANII BONGO WANATUMIKA KAMA TOILET PAPER

Katika kipindi cha Mkasi kinachorushwa kila siku ya jumatatu saa 3:30, mkongwe wa bongo fleva nchini kutoka kundi la East Coast Team GK amesema wasanii wengi nchini wanatumiwa na wanasiasa kama toilet paper jambo linalochangia kushusha hadhi ya wasanii na industry nzima ya sanaa hiyo. Amesema... pamoja na bongo fleva kukua kwa kiwango kikubwa tofauti na kipindi cha nyuma na kupata mwitikio chanya kwenye jamii, bado suala la kutumika vibaya wakati wa uchaguzi ni changamoto mojawapo. Mytake: nadhani ni vema wasanii wakajikita kuhimiza utaifa zaidi na kipindi hichi cha uchaguzi watunge na maendeleo kwa ujumla.

0 comments:

Post a Comment