Pages

Subscribe:

Saturday, January 24, 2015

TIKO AWAJIA JUU WANAUME WANAO DAI KUWA YEYE NI GOGO KITANDANI

Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Tiko Hassan amesema hakuna kauli ambayo haipendi kama kuambiwa si hodari wa mapenzi (gogo) wakati anajiamini yupo vizuri katika sekta hiyo. Tiko alifunguka kauli hiyo alipokuwa akifanya mahojiano na mwandishi na lilipofika suala la malovee, Tiko aling’aka vibaya mara baada ya... kuambiwa kuwa kuna marafiki zake wanamuita gogo. “Wee nani kasema? Sipendi kuitwa hivyo wakati mwenyewe najijua kabisa ninakuwaje pindi ninapokuwa na mpenzi wangu, najiamini kweli,” alisema Tiko.

0 comments:

Post a Comment