Pages

Subscribe:

Thursday, January 22, 2015

NYIMBO YA DIAMOND KAMWAMBIE YAHIT UPYA NCHINI NIGERIA

Huwezi kuamini hili, lakini blog za Nigeria zimedata na ngoma iliyomtambulisha Diamond miaka minne iliyopita, Kamwambie. Haijulikani ni vipi wimbo huo jana umeonekana kuwa dhahabu kwenye blog za Nigeria, lakini kinachovutia ni kuwa blog zote kubwa na ndogo zimeupost... wimbo huo. Baadhi ya blog hizo zinadhani huo ni wimbo wake mpya, lakini zingine zinafahamu kuwa ni wimbo wake wa zamani lakini zimeupenda tu na kuamua kuuweka kwakuwa wengi hawaufahamu huko.

0 comments:

Post a Comment