Pages

Subscribe:

Saturday, January 24, 2015

KOPE ZA BANDIA ZAMFANYA MBAYA WEMA SEPETU

Wema Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa anajuta kutumia kope za bandia kwa muda mrefu kwani zimeharibu kope zake za asili. Akizungumza na mwanahabari wetu, Wema alisema awali alikuwa hawezi kutoka kwenda kokote bila kuweka kope hizo na hata asipozibandika anajisikia vibaya lakini baada ya kumharibia... muonekano wake wa asili, hataki hata kusikia. “Jamani hakuna kitu ambacho nimekichukia kwa hivi sasa kama kope za bandia sina tena unishawishi nazo kabisa zimeharibu macho yangu, situmii tena,” alisema Wema.

0 comments:

Post a Comment