
Nikki wa Pili amesema watu wengi wanaoishi maeneo yaliyokumbwa na bomoabomoa ni watu masikini na wamehangaika kujenga nyumba hizo ambazo...
zinabomolewa kupisha upanuzi wa barabara je, hayo maendeleo yanayofanywa ni kwa ajili ya nani?
“Unaposikia bomoa mara nyingi huwa makazi yà watu wa chini wajuu wakiguswa ni wachache…….basi hayo maeneo yataendelezwa na kuwa ya wakazi wa hali ya juu au maghorofa ya kumilikiwa na wageni au vyovoyote vile……..lakini wale waliokuwa pale mwanzoni hawataweza kuishi pale….watakuwa pembezoni huko au watabaki bila makazi kabisa…je ni maendeleo kwa ajili ya nani? Je maendeleo ni kufukuza tabaka flani la wengi pembezoni kwakuwa hawana kitu”.
Amehoji Nikki wa Pili kwenye ukurasa wake wa Instagam huku akisisitiza kuwa maendeleo yoyote lazima yawalenge watu hao masikini na sio kuwafukuza.



Follow on Instagram
0 comments:
Post a Comment