Pages

Subscribe:

Wednesday, August 9, 2017

WIZKID AVUNJA REKODI YA BILLBOARD ILIYO WEKWA MIAKA 35 ILIYO PITA

Mwimbaji staa wa Nigeria WizKid maarufu kama Star boy ameingia kwenye headlines mpya Duniani baada ya kuvunja rekodi ambayo ilidumu kwa miaka 35 kwenye Billboard 200 Marekani.

Hii inamfanya Star Boy Wizkid kuwa Mnigeria wa pili kuingia kwenye chat hizo akitanguliwa na Mnigeria mwenzake ambaye ni...
msanii mkongwe King Sunny Ade aliyetamba na ngoma ya Ja Funmi mwaka 1982 na kushika nafasi ya 118 katika chat hizo.

Watch Here 

0 comments:

Post a Comment