Pages

Subscribe:

Wednesday, August 9, 2017

UJUMBE WA MAMA HAMISA MABETO BAADA YA MWNAYE KUJIFUNGUA

Mwaka 2017 umeshuhudia mastaa kadhaa wa Bongo wakifurahia kupata watoto, wengine wakifurahia maisha mapya ya ndoa lakini wengine pia sasa hivi nao wanategemea kupata watoto kabla mwaka haujaisha.

Jana August 8, 2017 staa wa mitindo Bongo Hamisa Mobeto ambaye alikuwa mjamzito alipata mtoto wa kiume ambaye alijifungua salama, Taarifa hizo za Hamisa kupata mtoto zilithibitishwa na mama yake baada ya kupost...
picha katika Instagram yake na kuandika: ”Alhamdullilah mume wangu mie peke yangu.”Mama Mobeto.

0 comments:

Post a Comment