Pages

Subscribe:

Tuesday, April 28, 2015

NIKKI WA PILI ATOA SOMO KWA WASANII

Staa wa Muziki Nikki Wa Pili ametoa mtazamo na ushauri kwa wasanii, hususan wale wanaofanya muziki wa Bongo Flava, kufahamu vizuri aina ya muziki wanaofanya ili kudumu na kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Kwa mujibu wa uchambuzi wa Nikki, amesema...
Msanii anapokuwa hafahamu aina ya muziki anaoufanya, kama kazi nyingine yoyote ile bila dira, ni rahisi kupotea ndani ya kipindi kifupi tu.

0 comments:

Post a Comment