Pages

Subscribe:

Thursday, August 10, 2017

TAZAMA PICHA ZA TAJIRI NAMBA 1 DUNIANI AKIWA TANZANIA

Tajiri namba moja wa dunia Mmarekani Bill Gates ameitembelea tena Tanzania ambapo picha zake zimeanza kusambaa akiwa kwenye ziara Muheza Tanga ambako amekutana na Mbunge pamoja na wadau mbalimbali.

kwenye ziara hiyo ya Tanga Bill Gates alikua anafatilia maswala mbalimbali ya...
afya ikiwemo utumiaji wa dawa za mabusha, matende na n.k na kuangalia ni namna gani anaweza kusaidia kwenye sekta hiyo ya Afya.
Picha ya Bill Gates akiwa na Wadau mbalimbali pamoja na Mbunge wa Muheza Balozi Adadi Rajabu.
Kwenye hii picha unaweza kumuona Bill Gates akiwa kwenye meza kuu na kufatilia kila kinachojiri

Taarifa za sasa ni kwamba Bill Gates amerejea Dar es salaam na kuna mpango ilisemekana kwamba anataka kuonana na Rais Magufuli.

0 comments:

Post a Comment