Pages

Subscribe:

Saturday, June 20, 2015

BABA LEVO ATIMKIA KIGOMA.. KISA KIZIMA HIKI HAPA

Msanii Baba Levo anaefanya Vizuri na wimbo uitwao Bwege, kafunguka kuwa anataka kuiamisha familia yake na kurudi kwao Kigoma. Baba Levo amefikia hatua hiyo ya kurudi kuishi kwao Kigoma kutokana Kutangaza nia yake ya Kugombea Udawani katika kata ya... Mwanga Mkoani Kigoma. Katika Mtandao wa Instagram ukurasa wa @Cloudsfmtz umeandika: "*Baada ya @wemasepetu - sasa ni zamu ya @babalevo !! Msanii huyo kutoka Kigoma, ambaye ni mwanachama wa chama cha ACT kinachoongozwa na @zittokabwe, ametangaza kwamba anatarajia kugombea Udiwani Kata ya Mwanga Kaskazini - KIGOMA!!!

0 comments:

Post a Comment