Pages

Subscribe:

Tuesday, July 28, 2015

MASHABIKI WAIKOSOA PICHA ALIYO PIGA DIAMOND NA ZARI

Stori zilizo zagaa mtaani ni kuwa wawili hawa( Diamond na Zari ) wanatarajia kupata mtoto wao hivi karibuni, lakini picha hii imeibua hisia tofauti miongoni mwa mashabiki wa mastaa hawa. Kundi kubwa linawalaumu wasanii hawa kwa kupiga picha kama hii huku likidai ni... kumdhalilisha mtoto aliyeko tumboni. Aunt Ezekiel aliwahi piga picha kama hii nakujikuta akioga mvua ya matusi toka kwa mashabiki wake. Hizi ni baadhi ya comment za mashabiki wao.

0 comments:

Post a Comment