Pages

Subscribe:

Monday, September 28, 2015

CHUMBA CHA MTOTO WA KAJALA NA P FUNK KUFURU TUPU

Chumba cha Paula wa P- Funk Kufuru!
Chumba cha mtoto wa prodyuza maarufu Bongo, Paul Matthysse ‘P- Funk’ na Kajala Msanja, Paula kimeibua mshituko kufuatia namna kilivyosheheni vitu vya thamani.
Juzikati mwandishi wetu alitinga ndani ya mjengo anaoishi Kajala maeneo ya Mwenge jijini Dar na kustaajabu mengi lakini miongoni mwa hayo ni chumba ambacho ametengewa Paula. Tazama picha hapa ndani...

Chumba cha Paula wa P- Funk Kufuru! 1
Chumba hicho kina kitanda cha gharama, kimerembwa kwa kuandikwa jina la Paula ukutani, kuna kabati kubwa la nguo na shelfu iliyosheheni viatu kibao vya kila aina.
Chumba cha Paula wa P- Funk Kufuru! 2
Hata hivyo, ikabainika kuwa, kufuru zilizomo chumbani kwa binti huyo anayesoma zinatokana na mama yake ambaye pesa inaonekana kuwa siyo shida kwa muda huu.
Chanzo: GPL

0 comments:

Post a Comment