Pages

Subscribe:

Friday, September 11, 2015

STUDIO YAWAKUTANISHA NUHU NA SHILOLE

Penzi la Nuh na Shishi Studioni
Penzi lililopo juu kwa sasa kati ya Shilole na Nuh Mziwanda, limemehamasishwa sana na muziki huo ambapo wawili hawa walikutana Studio ambapo Nuh alilianza kujenga mazoea ambayo baadae yaligeuka kuwa mahusiano ya mapenzi.
Taarifa hizo za ndani zinaweka wazi na Nuh ambaye anaeleza kuwa, katika kipindi hicho alikuwa akiish studio, na kukutana kwake na Shilole kwa mara ya kwanza hakukuwa na...
nia yoyote ya kimapenzi mpaka kukolea sana katika kufanya kazi za kimuziki, kufikia hatua ya 'ku-misiana' pale mmoja na anapokuwa mbali na mwezie.
Chanzo:EATV.TV

0 comments:

Post a Comment