Pages

Subscribe:

Tuesday, February 27, 2018

ALIKIBA KUFUNGA NDOA IJUMAA HII NA RAIA WA KENYA



Orodha ya wasanii wanaotoka katika kundi la ukapera inazidi kupungua kila kukicha – Alikiba anadaiwa kutaka kufuata nyayo hizo.
Msanii huyo ametajwa kutaka kufunga ndoa na mrembo huyo aliyefahamika kwa jina la Amina kutoka mjini Mombasa nchini Kenya, Ijumaa ya wiki hii.
Kwa mujibu wa chazo chetu kimesema kuwa...
taarifa hizo ziliaza kusambaa baada ya Abdu Kiba kutumbua jibu wiki iliyopita wakati akifanya mahojiano na gazeti moja la huko Kenya.
Hata hivyo inafahamika kuwa Alikiba amekuwa akienda mara kwa mara Mombasa kutokana na kuwa na ukaribu na Gavana wa mji huko, Joho.

0 comments:

Post a Comment