Pages

Subscribe:

Tuesday, February 27, 2018

HUDDAH MONROE AJAWA NA HOFU YA KUSHIKA MIMBA



Mwanamitandao kutoka nchini Kenya, Huddah Monroe ameanza kujawa na hofu ya kuwa amenasa mimba. Wasiwasi wa mrembo huyo umekuja baada ya kujiona kila akifanya manunuzi basi lazima atamani anunue nguo za mtoto.

Kupitia mtandao wa kijamii wa Snapchat mrembo huyo ameweka bayana hofu yake ya kushika mimba huku akijutia kitendo chake cha kuvunja amri ya sita na...
  pasipo kutumia kinga.


0 comments:

Post a Comment