Pages

Subscribe:

Wednesday, December 16, 2015

DIVA ACHARUKA BAADA YA TETESI KUWA ANATOKA KIMAPENZI NA ALIKIBA

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva the Bawse amekanusha tetesi zilizosambazwa na gazeti moja la udaku kuwa ana uhusiano na Alikiba. Kupitia Instagram, Diva ameandika:

Kuna gazeti Nimetumiwa limeandika nina Mahusiano na Ali Kiba. bila aibu wametumia Picha tumepiga studio. really? Since when ? Ali he is My good friend. he is sucha great heart and soul sina mahusiano nae sijawahi Wallahi kuwa na Mahusiano nae hata mara 1. na focus sana na... Kazi yangu nina Plan zangu kibao sitaki niandikwe mambo ya Mahusiano. nafanya interviews hizo zina trend africa nzima na nje ya Africa mbona hamuandiki? nina Diva Beautyy Product pia straight from the UK . mbona hamuandiki? come on now.. My main focus is to get on my grind and pursue my career. y’all leave me alone. S/O to @jacob_mbuya and @kyarwendafrj for always Being there .. well about Gk pia mmeandika right? Gk is sucha great heart. a very Special man. amma cherish him forever .naomba mniandike kuhusu Interview zangu za Levels baby levels maana zinakiki hatarious. das matter to me sawa eeh? ntawashukuru sana. #busywitmashit

0 comments:

Post a Comment