Pages

Subscribe:

Tuesday, December 22, 2015

AUNTY EZEKIEL : MDOGO WA COOKIE ANAKUJA SOON

Aunt Ezekiel na Mosses Iyobo
Staa maarufu wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel amefungua kinywa chake na kusema kuwa kwa sasa yuko kwenye mchakato wa kumtafuta mdogo wake na Cookie kwa kuwa hataki kukaa muda mrefu ili kupata mtoto mwingine. Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni Aunty,alisema kuwa ameamua kufanya hivyo kwa kuwa anaona...
kuzaa mapema na kumaliza ndiyo poa ili aweze kuendelea na kazi zake vizuri kuliko kukaa muda mrefu halafu ndiyo ubebe ujauzito tena.

“Sasa hivi mimi na baba Cookie tumeshaamua kufanya maamuzi mazuri kabisa ya kuongeza mtoto mwingine maana tumeona kwanza ndiyo furaha yetu kubwa na kitu kingine tukizaa haraka ni vizuri zaidi tunaweza kufanya kazi zetu kwa ajili ya kusomesha na si kufikiria kuzaa tena,” alisema Aunty.

0 comments:

Post a Comment